johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,019
Mjukuu wa baba wa Taifa la Zanzibar Fatma Karume amewataka Wananchi wa Tanganyika kuihoji CCM kwanini haitaki Tanganyika iwe na Rais wake
Karume amesema Wananchi kupitia Tume ya Warioba walitaka Serikali 3 lakini CCM ikakataa
Fatma Karume amewahi kuwa Rais wa Tanganyika Law Society 😀😀
Karume amesema Wananchi kupitia Tume ya Warioba walitaka Serikali 3 lakini CCM ikakataa
Fatma Karume amewahi kuwa Rais wa Tanganyika Law Society 😀😀