KASIYASURE
Member
- Dec 10, 2015
- 41
- 12
Fatma ni mnafiki tu aache kuwachanganya watu kwanza ni CCM huyo. Kwasasa anatafuta cheap popurality tu.
Hivi kwani kavile kasema sasa siyo? Rais wa Zanzibar ni Dr. Shein hili mjadala wake ni wa kupotezea muda. Bi. Karume na wengine wenye mawazo kama ya kwake inabidi wajipange na kujiuliza ni vipi walipotea na kusababisha Shein arudi madarakani ili wajipange tena kwa 2020.
Zungusha....Zungusha. ...Zungusha mikono...dah ilikuwa hatari..sana..magamba yalikosa amani kabisa! !!!!!!Labda kwa wazungusha mikono!!
Tatizo ni kuwa kwa vile CUF wamedai basi watu wameamini tu.. hili linanishangazaWangefanya nini kuokoa jahazi kwa Katiba hii na Tume ya Jecha ?! Bora hata Fatuma sio mnafiki
Kama anatetea haki akamfungulie kesi baba ake kwakuua wazanzbari
Fatma ni mnafiki tu aache kuwachanganya watu kwanza ni CCM huyo. Kwasasa anatafuta cheap popurality tu.
The lady is Benazir Butho of this era.
Keep up Miss Fatma.
Kweli mkuu si unajua jf?pole sanaNlimaanisha bibi yake, touch hizi sio kabisa
nimetokea kumpenda huyu bintiMJUKUU wa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, Abeid Amani Karume, amepinga hatua ya kumtangaza Dk. Alli Mohammed Shein, kuwa rais Visiwani, anaandika Pendo Omary.
Fatma Amani Abeid Karume, mtoto wa kwanza wa rais mstaafu, Amani Abeid Karume amesema, “Dk. Shein, siyo kiongozi halali wa Zanzibar. Amewekwa madarakani na jeshi na kinyume na Katiba na taratibu za nchi.”
Amesema, “Rais aliyewekwa madarakani na vyombo vya dola, siyo rais wa wananchi. Rais anayewekwa madarakani kwa nguvu za kijeshi na vitisho, hawezi kuwa rais wa wananchi. Anakuwa rais wa majeshi.”
Akiongea kwa sauti ya uchungu na MwanaHALISI Online, Jumatano wiki hii, ofisini kwake, jijini Dar es Salaam, Fatma amesema, “Chama Cha Mapinduzi, kisijidanganye. Zanzibar siyo shwari. Kinachotengenezwa sasa, siyo utawala. Ni muendelezo wa chuki, visasi na uhasama.”
Amesema, “CCM ya Tanganyika, ndiyo inayoiharibu Zanzibar. Wanalazimisha viongozi wasiokubalika na wananchi Visiwani kutawala kwa manufaa yao binafsi.”
Soma mahojiano kamili na mwanasheria huyo mashuhuri nchini, katika gazeti la MwanaHALISI Jumatatu wiki ijayo.
Mwanahabari Huru
ukute iliugunzwa badala ya kuunguaIle hoteli yake sijui iliungua kwa bahati mbaya?
Nyie mlioapishwa kupiga deki matako ya waarabu fanyeni hima basi mkamtoe Shein!kwa mtu yeyote mwenye busara hawezi kukubali urais wa Shein isipokuwa mwenye akili ya kiccm
Sheikh naomba unisaidie kumwambia fatma amlipue babake kwenye vyombo vya habari. Amani karume aliwaua wapemba kama ngedere wakati wa utawala wake.Ni mke wa mtu. Mwite Ms.Fatma au Lady Fatma
Chama cha baba yake.Mjibuni hoja yake mbona mnaweweseka? Iliyouwa watu ni serekali ya chama gani?