Fastjet na nauli ya 75,000 Tsh (Mwanza-Dar)

kuna ka utapeli hapa meleta mada umekaona mapema sana, fast jet sio ya walahoi na haina msaada mie nilienda nikambiwa 230tshs
 
kuna watu wanachekesha sana.....imeandikwa from 32,000.....haina maana LAZIMA upate ticket ya bei hio.....halafu kama ni msafiri wa ndege utajua kwamba ukikata tiketi muda mrefu kabla ya safari unapata unafuu wa bei!!!!sasa wewe unakurupuka leo unasafiri kesho unataka ticket ya bei ya chini hakuna kitu kama hicho....easyjet/ryan air wanaoperate europe na wana ticket za bei ya chini sana across europe................nishasafiri na BRITISH AIRWAY,SWISS AIR,KLM,EMIRATES zote hizo nilikata tiketi miezi kadhaa nyuma na nilipata bei nafuu ila ukikata leo kesho unaondoka utakoina cha moto ndio utaratibu wa mashirika ya ndege hata train za uk ukikata wiki kabla let say unaenda manchester from london itakuwa around 20-30GBP lakini ukikata leo uondoke leo inakuwa around 80-100GBP way expensive than taking a flight!

Nakubaliana na wewe 100%, ila nasema walivyowatangazia watanzania it is as if nauli hiyo ni bila kujali msimu. Na actually, mwanzoni haikujalisha umekata lini, hata siku hiyo hiyo ulikuwa unalipa hiyo 75,000 or so! Argument yangu ni kuwa kwa sasa siyo hivyo. Ni hilo tu. Otherwise, bado nauli zao ni ndogo tu!
 
Kwa fastjet ukikata ticket mwezi mmoja kabla ya safari unapata hiyo ya 75,000/=mimi nimekata kwa bei hiyo 150,000 kwenda na kurudi
 
Wadau hivi ile nauli ya mbwembwe ya FastJet ya 75,000 Tsh Mwanza -Dar ilishia wapi! Kuna watu humu walibisha nilipotoa rai kuwa these people can not maintain such a low fare and sustain their presence in air transport industry. Wadau mnasemaje!

Leo nimebukia mtu flights Dar-Mwz kwa elfu 32k kwenda na kurudi 32k, jumla yake na kuongeza elfu 20 ya begi kwenda na kurudi. so watu watatu wanasepa kila mmoja kwa 106k.

hata nchi zilizoendelea ukibook mapema unalipa uchee siku zikizidi soge bei inapanda.

nilitaka kusahau tax elfu 11 mara mbili.
 
Leo nimebukia mtu flights Dar-Mwz kwa elfu 32k kwenda na kurudi 32k, jumla yake na kuongeza elfu 20 ya begi kwenda na kurudi. so watu watatu wanasepa kila mmoja kwa 106k.

hata nchi zilizoendelea ukibook mapema unalipa uchee siku zikizidi soge bei inapanda.

nilitaka kusahau tax elfu 11 mara mbili.

Perfect, ni kweli lakini sio ile ya 75,000 maana waliitangaza as if itakuwa 75,000 mpaka hapo baadaye itakapotangazwa vinginevyo. Ulivyosema ni kweli nami nilibook kabla ya miezi mitatu, kweli nililipa 122,000 pamoja namizigo migodo miwili to and fro!
 
Jamani nauli za chini zipo na wala sio Promotion, tena sio Tsh 75,000 ni Tsh 43,000 one way that makes 86,000 kwa tiketi ya kwenda na kurudi. Tafadhali mtu asikudanganye dawa ni kufanya booking mapema na kama una tatizo lolote ingia kwenye wavuti yao www.fastjet.com au facebook page yao www.facebook.com/fastjet na uache swali au maoni yako na utajibiwa. fastjet imeleta mageuzi makubwa sana katika sekta ya anga atlist basi muone hilo, imagin sasa unaweza kufanya booking kwenye laptop/desktop ama simu yako hata kama ni ya mchina kwa hatua chache na rahisi sana na ukalipia kwa tigo pesa mpesa au credit card, na ukasafiri kwa muda uliopangwa bila kucheleweshwa. Wake up guys and use this opportunity.
 
Kama umeoa ama umeolewa nahisi jibu kamili umelipata na vituko unavyovipata leo hii ama vitakavyokuja
sio hilo tu kumbuka na style zenu kupelekana steers /kfc baada ya ndoa mnaishia africasana
anyway hayo ndio maisha kama ulivyofikiria wenye kujua walijua hilo na kama uko kwenye biashara basi kuna neno linaitwa promo////
ulikuwa kwenye promo wewe ukaidhinisha bei halali siku zote ..infact pamoja na be i kupanda ni ndege ambayo unaweza kata hata sasa ukawa na amani ya kufika ....pesa makaratasi usigope
fasta tukapande fast jet
 
Tatizo letu sie watanganyika ni wepesi wakushabikia mambo pasipo kufanyia uchunguzi nauli za fastjet ziko Waziri ni elfu 32 pasipo kodi kwhy ikiwekwa na kodi nauli ya bei ya chini kabisa ni sh elfu 42 mia tisa hivi so unafuu unatofautiana na kulingana ulipia ticket yako lini,kwa wale walio kata mwezi mmoja kabla they are likely easy kupata bei ndogo kuliko waliolipia wiki moja kabla, binafsi nilishawai panda fastjet kwa elfu 42 from mwnz to Dar, sa ka we unataka fastjet ya kesho kutwa afu unataka nauli sawa na mtu alitunza ticket yake toka mwezi uliopita dah nadhani umepotea njia kacheck Mohamed trans au zuberi

mkuu umefafanua vizuri, nimegundua uwelewa wa watu wengi kuhusu usafiri wa ndege bado ni mdogo sana, ambaye hajakuelewa uyo sasa ana matatizo makubwa.
 
Wadau hivi ile nauli ya mbwembwe ya FastJet ya 75,000 Tsh Mwanza -Dar ilishia wapi! Kuna watu humu walibisha nilipotoa rai kuwa these people can not maintain such a low fare and sustain their presence in air transport industry. Wadau mnasemaje!

Ukiingia choo unachajiwa
Mzigo kidogo unachajiwa
 
Back
Top Bottom