Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Zingatia Hii Kauli Nauli Zitapanda na Kila Kitu Kitapanda
Kiongozi wa Nchi anaamasisha wafanya biashara Kuongeza Bei ya Bidhaa bila hata aibu
---
Mwakilishi wa Kampuni ya usafirishaji Happy Nation, Ally Siddy Urasa, leo Aprili 13, 2022 katika mkutano wa wadau kujadili nauli za mabasi ya usafiri amependekeza nauli ya Dar es Salaam-Mwanza ipande hadi Sh. 83,861.
.
Katibu wa Umoja wa Usafirishaji Abiria Mkoa wa Dar es Salaam, Selemani Kimomwe amesema umoja huo unapendekeza bei ya nauli iongezeke kwa Sh. 400 "kwa maoni yetu tunaomba ongezeko la Sh. 400 kutoka kila nauli, mfano nauli ya 500 ipande kuja 900.
.
Tutaelewana Tu Si Mmesema Anaupiga Mwingi.
Kiongozi wa Nchi anaamasisha wafanya biashara Kuongeza Bei ya Bidhaa bila hata aibu
---
Mwakilishi wa Kampuni ya usafirishaji Happy Nation, Ally Siddy Urasa, leo Aprili 13, 2022 katika mkutano wa wadau kujadili nauli za mabasi ya usafiri amependekeza nauli ya Dar es Salaam-Mwanza ipande hadi Sh. 83,861.
.
Katibu wa Umoja wa Usafirishaji Abiria Mkoa wa Dar es Salaam, Selemani Kimomwe amesema umoja huo unapendekeza bei ya nauli iongezeke kwa Sh. 400 "kwa maoni yetu tunaomba ongezeko la Sh. 400 kutoka kila nauli, mfano nauli ya 500 ipande kuja 900.
.
Tutaelewana Tu Si Mmesema Anaupiga Mwingi.