Fastjet na nauli ya 75,000 Tsh (Mwanza-Dar)

mimi nilikata go n return ya mwanza dar kwa 290k watu walibisha sana humu na hiyo ilikuwa ni january2013 better mwingine huyu kaja sema hapa hauna kitu kinaitwa eti 32,000/= kwa ndege kama kuna mtu alishawahi panda hiyo fast jeti kwa 32,000/= aonyeshe ticketi hapa nampa tsh 100,000/=with scanned evidence

Wapo waliopanda kwa bei hiyo na VAT inakuwa Tshs 44,000.00 lakini siku hizi tiketi hizo ni kama hazipo.
 
Dar-Mwanza wanakupiga kuanzia 130k one-way, usiguse go n return ni zaidi ya 300k
mmh

Naulli inategemea na BOOKING yako na muda wa kusafiri, mfano wote mkisafiri siku moja, mwingine saa tatu usiku na mwingine saa 8 mchana, basi wa mchana nauli yake ni kubwa kuliko wa usiku, na hivyo hivyo ukifanya BOOKING ya safari tarehe 5/7 na mwingine 14/7 na mwingine 30/7, nauli ya tarehe 30/7 itakuwa poa kuliko nyingine.
 
Mie nilitaka safiri mwezi wa sita tarehe 24 nikabook last week bei ni 64000
 
Kwa waliotembea duniani kote watakuambia nauli za ndege hata siku moja haziwi sawa kwa abiria wote, hii ni kwasababu jinsi demand inavyoongeza na mda wa safari unavyokaribia nauli hupanda. Hivyo kwa anayekata ticket yake mapema anapata nauli nafuu na wale wa zima moto kama watanzania wengi tulivyo lazima ulipe premium price. Lakini hata wakicharge nauli ya juu wakati wameshajiestablish sokoni sio dhambi. Wale wajuzi wa mikakati ya masoko wanajua mikakati ya Market penetration vs Market skimming na mikakati hii inatumika wakati gani. They have just moved from penetration to skimming. Nani kakwambia wamekuja kutoa msaada wa kuwasafirisha? ATC yenu yenyewe ilishindwa kuwapa msaada, halafu ndo mtegemee investor wa nje aje awape msaada? They mean business and they are doing it professionally!

Nakubaliana na theories zako za market penetration, skimming etc, lakini ninachosema ni kuwa waliwadanganya watanzania. ni hilo tu! Uko sahihi kwa uliyoyasema, walitumia udanganyifu kufanikisha market penetration!
 
Aviation Industry haiendeshwi hivyo ninamashaka na aliyetoa hizo taarifa nauli haiwezi kuwa costant muda una athari kubwa kwenye ticket za ndege. Ni vyema uangalie gharama kwenye website yao kwa tarehe husika

Nakubali kabisa unayoyasema. Sasa basi watuambie kuwa nauli imepanda sio tena 75,000. Hilo litakuwa na busara zaidi kuliko kuendelea kuwatangazia nauli ya 75,000. Nasemea ujanja ujanja wa kuwadanganya watu na wala sio nauli kuwa kubwa, bado ni ndogo.
 
Mi naenda mwanza jumamosi asubuh nimekata ticket kwa 59,000 sema nimekata mapema.. But ya kurudi ndio gharama kubwa...

Fast jet ukikata mapema ticket ni bei rahis sana, sema ukichelewa kukata inapigwa premium price
 
mimi nilikata go n return ya mwanza dar kwa 290k watu walibisha sana humu na hiyo ilikuwa ni january2013 better mwingine huyu kaja sema hapa hauna kitu kinaitwa eti 32,000/= kwa ndege kama kuna mtu alishawahi panda hiyo fast jeti kwa 32,000/= aonyeshe ticketi hapa nampa tsh 100,000/=with scanned evidence[/QUOTE]

mimi nilibahatika kusafiri kwa hii nauli 1/1/2013 from DSM to Mwanza niandalie hiyo laki moja nikupe evidence..ni 32,000/= bila kodi ambapo ukijumlisha na kodi ni 43,000/= i can prove kwa kuambatanisha na tiket
 
Huu utaratibu wa kulipia mapema ili kupata unafuu wa nauli unapaswa kupongezwa. Kwanza,una faida kubwa na endelevu kwa kampuni na pili,ni fundisho kwa Watz ktk kupanga safari kwa wakati ili kupunguza kutumia fedha nyingi.Nchi zote zilizoendelea duniani zina aina hii ya ulipaji wa bei chee kama ukifanya booking mapema kuwezesha watu wote hata wenye kipato cha chini kusafiri.Hilo ndiyo lengo lao kuu na wanapaswa kupongezwa na si kushutumiwa.
 
kuna watu wanachekesha sana.....imeandikwa from 32,000.....haina maana LAZIMA upate ticket ya bei hio.....halafu kama ni msafiri wa ndege utajua kwamba ukikata tiketi muda mrefu kabla ya safari unapata unafuu wa bei!!!!sasa wewe unakurupuka leo unasafiri kesho unataka ticket ya bei ya chini hakuna kitu kama hicho....easyjet/ryan air wanaoperate europe na wana ticket za bei ya chini sana across europe................nishasafiri na BRITISH AIRWAY,SWISS AIR,KLM,EMIRATES zote hizo nilikata tiketi miezi kadhaa nyuma na nilipata bei nafuu ila ukikata leo kesho unaondoka utakoina cha moto ndio utaratibu wa mashirika ya ndege hata train za uk ukikata wiki kabla let say unaenda manchester from london itakuwa around 20-30GBP lakini ukikata leo uondoke leo inakuwa around 80-100GBP way expensive than taking a flight!
 
mimi nilikata ticket return dar - mwanza kwa tsh 72,300. Kulikuwa na tangazo hapa JF ya punguzo la 20% kama ukiingiza code JF2020. Kiukweli hawa jamaa nauli zao ni nafuu sana ilimradi usiwe mtu wa kupanga safari za kuondoka kesho usiku wa leo. Yule aliyeahidi laki ajitokeze niiscan ticket.
 
Tatizo letu sie watanganyika ni wepesi wakushabikia mambo pasipo kufanyia uchunguzi nauli za fastjet ziko Waziri ni elfu 32 pasipo kodi kwhy ikiwekwa na kodi nauli ya bei ya chini kabisa ni sh elfu 42 mia tisa hivi so unafuu unatofautiana na kulingana ulipia ticket yako lini,kwa wale walio kata mwezi mmoja kabla they are likely easy kupata bei ndogo kuliko waliolipia wiki moja kabla, binafsi nilishawai panda fastjet kwa elfu 42 from mwnz to Dar, sa ka we unataka fastjet ya kesho kutwa afu unataka nauli sawa na mtu alitunza ticket yake toka mwezi uliopita dah nadhani umepotea njia kacheck Mohamed trans au zuberi
 
dah hata siwaelewi hawa jamaa mimi nimesafiri leo kwa 170000 oneway dar kilimanjaro
 
Nakubaliana na theories zako za market penetration, skimming etc, lakini ninachosema ni kuwa waliwadanganya watanzania. ni hilo tu! Uko sahihi kwa uliyoyasema, walitumia udanganyifu kufanikisha market penetration!

Mkuu binafsi sidhani kama kuna udanganyifu wowote (na nieleweke sina maslahi yoyote na Fastjet) lakini ukweli ni kuwa nauli zipo za bei ya chini na za juu kulingana na wakati uliokata ticket yako. Hata kwenye page hii ya JF yapo juu kuna tangazo linasema kwenda kilimanjaro ni kuanzia Tsh 32,000/= lakini haimaanishi abiria wote wataenda kwa bei hiyo. Kuna watakayoipata wakikata kwa muda ambao bei hiyo ipo na kuna watakokata kwa zaidi ya hapo. Its normal selling practice katika airline industry. (Wangesema bei ni Tshs 32, 000 tu ingekuwa ni udanganyifu, lakini ni kuanzia Tshs.......)
 
Tatizo letu sie watanganyika ni wepesi wakushabikia mambo pasipo kufanyia uchunguzi nauli za fastjet ziko Waziri ni elfu 32 pasipo kodi kwhy ikiwekwa na kodi nauli ya bei ya chini kabisa ni sh elfu 42 mia tisa hivi so unafuu unatofautiana na kulingana ulipia ticket yako lini,kwa wale walio kata mwezi mmoja kabla they are likely easy kupata bei ndogo kuliko waliolipia wiki moja kabla, binafsi nilishawai panda fastjet kwa elfu 42 from mwnz to Dar, sa ka we unataka fastjet ya kesho kutwa afu unataka nauli sawa na mtu alitunza ticket yake toka mwezi uliopita dah nadhani umepotea njia kacheck Mohamed trans au zuberi

Matapeli alafu ndege mbovu, mihudumu yao ina kauli chafu
 
gharama za ndege huwa zinapanda kutegemea na muda unaofanya booking ni vyema kutambua hilo nilienda kukata ticket Mwanza Dar mwezi wa tano ya kusafiri mwezi wa saba mwishoni kwa 59000/=

Hata mie nimesafiri mara mbili one way kwa 59,000.00. Ila last time nilikata return ticket Dar-Mwz-Dar wakanitoa 230,000.00 plus 8,000.00 ya kibegi changu!
 
Aviation business sio biashara ya madafu kutungua saa 2 saa 4 umeuza. Mleta thread kama hujui nature ya bsness uliza kwanza sio kupost -----.wahi kubook au Panda precision then.
 
Back
Top Bottom