Mkiliman
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 983
- 340
kWELI taa ya mshumaa hata kama itawaka kwa ukali mkubwa...itakuja wakati itazimika, vivyo hivyo, uhai wa mwanadamu huweza kuisha mara moja tuuu....na sio zaidi.
Dada Regia Mtema, kweli wewe ulikuwa jasiri na mpiganaji wa kweli na dhati, tulipenda uendelee kupigana kwaajili yetu watanzania, lakini umauti wako umekuwa ni waghafla sana, hakuna aliyejua na kuelewa kuwa safari yako ya kuishi duniani ilikuwa ni leo..!!!! Mungu wa AMANI NA UPENDO akupokee na kukupa pumziko la milele ukiwa na malaika wa amani.
eeh.Bwana....raha ya milele umjalie eee...Bwana, na Roho ya Regia Mtema uilaze mahali pema peponi...Amin.
Kwa Maana "imeandikwa kuwa binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi sio nyingi, na kwa kuwa tuliumbwa kwa udongo na mavumbini tutarudi milele na milele.....Amin"
Kila kiumbe na akiri moyoni mwake kuwa Bwana ni mwema...."
Wanadamu tukumbuke kujiandaa kwa safari ya kwenda mbinguni...maana hatujui saa wala siku ya kiyama...tusitende yasiyompendeza Mungu...bali tutenda mema kwa utukufu wake.
Dada Regia Mtema, kweli wewe ulikuwa jasiri na mpiganaji wa kweli na dhati, tulipenda uendelee kupigana kwaajili yetu watanzania, lakini umauti wako umekuwa ni waghafla sana, hakuna aliyejua na kuelewa kuwa safari yako ya kuishi duniani ilikuwa ni leo..!!!! Mungu wa AMANI NA UPENDO akupokee na kukupa pumziko la milele ukiwa na malaika wa amani.
eeh.Bwana....raha ya milele umjalie eee...Bwana, na Roho ya Regia Mtema uilaze mahali pema peponi...Amin.
Kwa Maana "imeandikwa kuwa binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi sio nyingi, na kwa kuwa tuliumbwa kwa udongo na mavumbini tutarudi milele na milele.....Amin"
Kila kiumbe na akiri moyoni mwake kuwa Bwana ni mwema...."
Wanadamu tukumbuke kujiandaa kwa safari ya kwenda mbinguni...maana hatujui saa wala siku ya kiyama...tusitende yasiyompendeza Mungu...bali tutenda mema kwa utukufu wake.