valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 868
mfano...............
acha uchokozi mdau.
wacha msiba upite bana.
hakuna anayemwombea mwanadamu mwenzake mauti mkuu.
hata kama viongozi wetu ni wabaya,wabovu na wala rushwa.
kuwaombea mauti si utu.
acha uchokozi mdau.
wacha msiba upite bana.
hakuna anayemwombea mwanadamu mwenzake mauti mkuu.
hata kama viongozi wetu ni wabaya,wabovu na wala rushwa.
kuwaombea mauti si utu.