Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Nimemjua Regia kupitia JF ndio nikaanza kumfuatilia nikagundua nilichelewa kujua nasaha zake na busara alizokuwa nazo.
Mungu amempenda zaidi. Tumuenzi kwa kutekeleza na kuyatenda yale aliyoyatenda kwa manufaa ya uma bila kuwa waoga kama yeye. Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu Regia Mtema.
Mungu amempenda zaidi. Tumuenzi kwa kutekeleza na kuyatenda yale aliyoyatenda kwa manufaa ya uma bila kuwa waoga kama yeye. Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu Regia Mtema.