Fahahu hivi ndio vyuo bora ambao wanafunzi wake hufanya vizuli maofisini na kozi

Lordvile ningeshangaa kama hujaiona hii mada ila mbona hujaponda IFM kuepo kwenye hiyo list kwikwikwikwikwikwi
 
Last edited by a moderator:
Samahani mtoa hoja naomba utuletee ripoti kamili ya huo utafiti unaosema umefanywa na wataalamu wengi!
bila shaka atakua amepata habari kutoka kwa ma HR maana research hii haina hata tija kwa jamii..halafu uje na research ya wajasiriamali waliopitia hivyo vyuo tajwa hapo juu..sheeeeee....nz..kweeeeeeelyy kweeeeeeeeeeelyyy
 
next time ukija jiapange upya unasema DSJ haya SAUT mwanza umekiacha wapi MZUMBE Kipo wapi BUGANDO mwanza au mlikuwa bar mmelewa mkaanza bishana bishana kijinga ukamua andika
 
Kuna Data star Training Collage,Eagle Training Collage,Zoom training collage..halafu kuna kimoja kinaitwa Kajinyee training collage kinajengwa na wachina hapa Tabata..watakuwa wanatoa training ya uendeshaji bodaboda..
 
aaah! Nimejivunia kujua majina ya vyuo vipya, kumbe tz kuna vyuo vingi namna hiyo. Tupia ripoti kamili.
 
Halafu wewe mkuu..KCMC hawana BPharm ...Bachelor ya Pharmacy inatolewa na vyuo hivi
Bugando, St. John na Muhasi...Kwahiyo huo ni umbea..
 
Vipi marketing, procurement, na BBA zote za mzumbe? Nimefanya BAF mzumbe but BBA logistics, marketing and enterprenurship za mzumbe ni kali sana as wana interaction nzuri sana na walimu as wapo wachache sana,, mafano mwaka wangu watu wa procurement walikuwa 20 tu darasan kwao kias cha walimu kumjua kila mtu na uwezo wake, na hata assigment na presentations wao wanafanya individual hakuna kutegeana,,, also baada ya kuajiriwa nikagundua uwezo wa kichwa cha mtu ndo muhim kuna watu wamesoma udom, saut, tumaini etc but they are too good kwenye utendaji kuliko hata waliosoma kwenye ivy league universities
vipi marketing ina soko?
 
hujafanya utafiti bado unaonekana unakurupukia majina tu!mfano hiyo numero 14 hakuna kitu kama hicho ingawa ni chuo chao lakini uliza watu wote wanaofanya kazi TRA hakuna anaetokea ITA majority ni IFM na CBE tna usiendelee kutudanganya hii sio facebook


then uangalie kama hizo kazi walizipata kwa njia halali au wamepachikwa na watu wao..... kwa sababu instution kama hizo zinaongoza kwa kuwekana kwenye post...
 
Hebu rekebisha heading yako,kama na wewe ni mhitimu wa mojawapo ya vyuo hivyo basi tuna kila sababu ya kutilia shaka ubora huo kwa kuangalia uandishi wako
Hata kama na yeye katokea vyuo vikubwa kwa hiyo heading naamini kabisa ule usemi, "katika safari ya mamba na kenge wamo".
 
Kuna Data star Training Collage,Eagle Training Collage,Zoom training collage..halafu kuna kimoja kinaitwa Kajinyee training collage kinajengwa na wachina hapa Tabata..watakuwa wanatoa training ya uendeshaji bodaboda..
Uuuuuuupfuuuu mbavu zangu.
 
Utafiti....uliofanywa na wataalamu wengi unaonesha watu wengi ambao wapo maofisini na hufanya vizuli na hukubalika......kutokana na vyuo hivi kutoa watalaamu katika fani hizi ndio wanaofanya vizuli tukianza

jina la chuo fani sifa za graduate maofisini katika idara

1.T.I.A.........CHUO BORA KWA ACCOUNTS AND PROCUREMENT

2.UDSM.......CHUO BORA KWA LAW,HR,POLITICAL SCIENCE,STATISTICS,EDUCATION,BCOM AND ENGINEERING

3.I.F.M..........CHUO BORA KWA BANKING AND FINANCE


4.D.I.T...........CHUO BORA KWA ENGINEERING EXPCEPT COMPUTER ENGINEERING

5.MUHAS AND KCMC.......PHARMACY AND MEDICINE

6.LEARN IT.......CHUO BORA CHA INFORMATION TECHNOLGY

7.ARDHI UNIVERSITY.........CHUO BORA KWA ARCHETURE AND URBAN PLANNING

8.N.I.T AND VETA.............DRIVERS AND AUTOMOBILE ENGINEERING


9.MAGOGONI.......... secretarial COURSE........


10.madini mining and minerals hapa ndipo vijana hufanya vizuli



12.BANDARI COLLEGE ....... clearing and forwading hapa vijana toka hichi chuo hapata
and port mangement sana shavu sana bandarini


13.d.m.i water transporation mabahalia wengi kutoka hiki chuo
hufanya vizuli


14.i.t.a tax administration hichi ndio chuo pekee t.r.a hupenda
kuchukua vijana wakafanye kazi


15.civil aviation air hostels,flight operators
training cargo handling




16.D.S.J......... journalism hiki ndio chuo ambacho hutoa graduates
wazuli kuliko vyuo vyote tanzaniaa katika
tasnia ya habali


17.muccobs corperative hapa ndio kidogo cooperative subject




kuhusu vyuo vingine...........sikuwahi kupata sifa zao wakiwa maofisini ....lakini hivi ndivyo vyuo pekeeee ambavyo ukisoma hizi fani unakubalika kuliko chuo chochote

Hacha uongo we Binti inamaana haujakutana na wanafunzi wa IAA ( CHUO CHA UASIBU ARUSHA) ?
 
Tukishika dola tutaifanya gongo kuwa halali kisheria.

We base on who said what (reliable source of information), you cant just say from "wataalam wengi" who are they, otherwise your not confident with your self and your informants/information and if so dont do it again if you respect your reputation.
 
No research of urself No truth...dont conclude by using other pple findings..hzo 2mia kama literature review yako..
 
If i have nothing to say,i keep quit, life iz all about perfomance and not copying from what they did,vyuo bora vipo mtaani, furahia kusoma unakosoma,sifia sana ila kumbuka masomo halisi yapo mtaan
 
Utafiti....uliofanywa na wataalamu wengi unaonesha watu wengi ambao wapo maofisini na hufanya vizuli na hukubalika......kutokana na vyuo hivi kutoa watalaamu katika fani hizi ndio wanaofanya vizuli tukianza

jina la chuo fani sifa za graduate maofisini katika idara

1.T.I.A.........CHUO BORA KWA ACCOUNTS AND PROCUREMENT

2.UDSM.......CHUO BORA KWA LAW,HR,POLITICAL SCIENCE,STATISTICS,EDUCATION,BCOM AND ENGINEERING

3.I.F.M..........CHUO BORA KWA BANKING AND FINANCE


4.D.I.T...........CHUO BORA KWA ENGINEERING EXPCEPT COMPUTER ENGINEERING

5.MUHAS AND KCMC.......PHARMACY AND MEDICINE

6.LEARN IT.......CHUO BORA CHA INFORMATION TECHNOLGY

7.ARDHI UNIVERSITY.........CHUO BORA KWA ARCHETURE AND URBAN PLANNING

8.N.I.T AND VETA.............DRIVERS AND AUTOMOBILE ENGINEERING


9.MAGOGONI.......... secretarial COURSE........


10.madini mining and minerals hapa ndipo vijana hufanya vizuli



12.BANDARI COLLEGE ....... clearing and forwading hapa vijana toka hichi chuo hapata
and port mangement sana shavu sana bandarini


13.d.m.i water transporation mabahalia wengi kutoka hiki chuo
hufanya vizuli


14.i.t.a tax administration hichi ndio chuo pekee t.r.a hupenda
kuchukua vijana wakafanye kazi


15.civil aviation air hostels,flight operators
training cargo handling




16.D.S.J......... journalism hiki ndio chuo ambacho hutoa graduates
wazuli kuliko vyuo vyote tanzaniaa katika
tasnia ya habali


17.muccobs corperative hapa ndio kidogo cooperative subject




kuhusu vyuo vingine...........sikuwahi kupata sifa zao wakiwa maofisini ....lakini hivi ndivyo vyuo pekeeee ambavyo ukisoma hizi fani unakubalika kuliko chuo chochote

SEKOMU hao ni wataalam wa special needs education nchi nzima na ea
 
air hostels ndo nini kijana? leo umekula kweli? mbona unaandika kwa kutetemeka hivyo? au laptop na modem ni vya wizi? unaogopa kubambwa?
 
Back
Top Bottom