Fahahu hivi ndio vyuo bora ambao wanafunzi wake hufanya vizuli maofisini na kozi

akizungumza katika hafla ya kuzindua dira ya UDSM miaka 50 ijayo, mkurugenzi wa NHC Nehemia Mchechu Kwa niaba ya wenzake aliwasifia wahitimu wa Ud kuwa wanajituma sana,akaongeza kuwa wanaaminika ktk idara mbalimbali na wamekuwa ni msaada mkubwa sana maofisi.
 
Wenda umeikosea si Kiswahili sanifu, usanifu wake ni huenda
wenda una mawazo mazuri...lakini kwa hii lugha ulitumia hakika umepotosha maana na dhumuni la uzi wako!! LUGHA MBAYA....KAJIPANGE!!!!

neno dhumuni lilipaswa kuwa madhumuni!
 
akizungumza katika hafla ya kuzindua dira ya UDSM miaka 50 ijayo, mkurugenzi wa NHC Nehemia Mchechu Kwa niaba ya wenzake aliwasifia wahitimu wa Ud kuwa wanajituma sana,akaongeza kuwa wanaaminika ktk idara mbalimbali na wamekuwa ni msaada mkubwa sana maofisi.

kwahiyo usaidiweje?
 
DSJ hutoa graduate wazuri kuliko wote Tanzania? I doubt! Hivi hawa wanatoa shahada? Yaani ni bora kuliko Tumaini, SAUT na SJMC? Halafu Mzumbe, SUA? Au nimesoma haraka haraka? Ninachojua mimi kuna Kozi zipo Mzumbe na SUA na hazipatikani kwingineko kokote kule. UDOM pia wanatoa shahada kama vile Lugha ya Korea, Kichina n.k, je hapa tuseme havitambuliki?
Kwamba Veterinary Medicine ya SUA hujaisikia?
 
Utafiti....uliofanywa na wataalamu wengi unaonesha watu wengi ambao wapo maofisini na hufanya vizuli na hukubalika......kutokana na vyuo hivi kutoa watalaamu katika fani hizi ndio wanaofanya vizuli tukianza

jina la chuo fani sifa za graduate maofisini katika idara

1.T.I.A.........CHUO BORA KWA ACCOUNTS AND PROCUREMENT

2.UDSM.......CHUO BORA KWA LAW,HR,POLITICAL SCIENCE,STATISTICS,EDUCATION,BCOM AND ENGINEERING

3.I.F.M..........CHUO BORA KWA BANKING AND FINANCE


4.D.I.T...........CHUO BORA KWA ENGINEERING EXPCEPT COMPUTER ENGINEERING

5.MUHAS AND KCMC.......PHARMACY AND MEDICINE

6.LEARN IT.......CHUO BORA CHA INFORMATION TECHNOLGY

7.ARDHI UNIVERSITY.........CHUO BORA KWA ARCHETURE AND URBAN PLANNING

8.N.I.T AND VETA.............DRIVERS AND AUTOMOBILE ENGINEERING


9.MAGOGONI.......... secretarial COURSE........


10.madini mining and minerals hapa ndipo vijana hufanya vizuli



12.BANDARI COLLEGE ....... clearing and forwading hapa vijana toka hichi chuo hapata
and port mangement sana shavu sana bandarini


13.d.m.i water transporation mabahalia wengi kutoka hiki chuo
hufanya vizuli


14.i.t.a tax administration hichi ndio chuo pekee t.r.a hupenda
kuchukua vijana wakafanye kazi


15.civil aviation air hostels,flight operators
training cargo handling




16.D.S.J......... journalism hiki ndio chuo ambacho hutoa graduates
wazuli kuliko vyuo vyote tanzaniaa katika
tasnia ya habali


17.muccobs corperative hapa ndio kidogo cooperative subject




kuhusu vyuo vingine...........sikuwahi kupata sifa zao wakiwa maofisini ....lakini hivi ndivyo vyuo pekeeee ambavyo ukisoma hizi fani unakubalika kuliko chuo chochote






We umesoma chuo gani? GPA-?
 
most of Ardhi university courses hazina mpinzani kwa hapa tanzania.
Geoinformatics
Geomatics
Urban planning
Archtecture
Interior design
Housing Infrastructure and Planning
Building Economics
Construction Management.
etc.....


ndo maana wanafunzi wake wanaomaliza hapo hawalali njaa na hawahitaji kuhangaika kutafuta kuajiriwa!
 
Unaweza soma huko na bado ukawa kilaza....
mmepita huko na still kitaa mnazurura.........
utapimwa kwa uwezo wako na si kwa chuo ulichosoma..
Kama wanahitaji mhasibu....watakutaka uwe umesoma Accounting
Kama wanahitaji Lawyer...uwe umesoma Law...etc
Chuo hakiajiriwi...unaye ajiriwa ni wewe.....
Pambana wewe kama wewe usikae kuwaza jina la chuo litakubeba...
hao tunakutana nao ktk interview na hawana jipya..tunawapiga chini kama kawa...
jivunie elimu na si chuo...jivunie taaluma si chuo.....

Mtazamo wangu.
 
Vipi marketing, procurement, na BBA zote za mzumbe? Nimefanya BAF mzumbe but BBA logistics, marketing and enterprenurship za mzumbe ni kali sana as wana interaction nzuri sana na walimu as wapo wachache sana,, mafano mwaka wangu watu wa procurement walikuwa 20 tu darasan kwao kias cha walimu kumjua kila mtu na uwezo wake, na hata assigment na presentations wao wanafanya individual hakuna kutegeana,,, also baada ya kuajiriwa nikagundua uwezo wa kichwa cha mtu ndo muhim kuna watu wamesoma udom, saut, tumaini etc but they are too good kwenye utendaji kuliko hata waliosoma kwenye ivy league universities
bro kweli umeongea point.... ishu hapa ni perfomance of the worker as an individual and as a team, not the institute and the university!! big up!!
 
Fainali kitaani, uwe umesoma st kulthum university ama st maria gorethi. Confidence and attitude is all it takes.
 
Post kama hizi mimi uwa nasema ni utoto, na cha ajabu mleta post is very weak in language and bad enough in swahili.
 
Back
Top Bottom