FACTS 11: Kama wanasayansi wangesoma BIBLIA, Technology ya sasa ingekuwa Zamani Sana

Kwa hiyo umekiri kwamba wapo waumini(walio wengi) wanaamini kuijua sayansi in Deep, ni kujiweka mbali na Mungu(kukufuru)?
Kuna aina kama tatu za scientist na aina moja inaweza kucontaminate imani. Hawa ni Ethiest/Evolutionists scientists ambao wengi wanastudy nature kumprove wrong Mungu na baadhi yao wanafika mahali wanakuwa frustrated. Kuna Aina nyingine wao wanastudy nature wakiwa na nia ya kuprove alichokisema Mungu na uwezo wake mkubwa. Na kuna wengine wanafanya tafiti with free mind na hawana uhusiano wowote na imani yoyote ile, Lakini wote hao huwa wanakutaka kwenye findings nyingi na kukubaliana au kubishana. Yawezekana hao waumini wanakatazwa ili wasiwe contaminated. Lakini Scince as Science is the greatest and sure tool to strengthen believer's Faith.

Kumbuka wapo wengi(watu wa dini)aim yao number moja ni Kutubrainwash sisi waumini ili tusiwe na uwezo wa kuhoji ili watutawale kirahisi kama misukule. Huu mchezo ni kinyume na matakwa ya Mungu wa Kwenye bibilia.
 
Mkuu usiniwaze kwa ubaya kwamba nataka kupinga uumbaji wa Mungu(ninafahamu fika hapa sii mahala pake), ninachokataa ni hoja uliyoileta kwa sababu mbili[ingawa zipo zaidi]
1.Kwa nini walioiandika na kuisoma Bibilia tangu mwanzoni hawakugundua hivyo vitu?

2.Bibilia imesheheni mambo yanayopingana na uelewa wa sasa kama vile Jua kuzunguka dunia.
1: Nimekueleza vizuri japo sijui kila kitu. Wengi wao walionyeshwa katika njozi na maono vingine vikubwa ambayo hata vikiwekwa mezani humu Dunia nzima itakataa lkn ni kwasabu iko limited. Wao haya mambo waliyaona kwa imani na ukisoma utashangaa maana wao wenyewe hadi walikuwa limited na misamiati ya kuviita au kuvitamka. Sasa wao walijikita kwenye kueneza Moral issues. Ila kama Dunia ingeipokea na kupokea hayo mambo ambayo Mungu alitaka mapema zaidi basi tungekuwa mbali. Wayahudi wachache walinufaika hata walipokuwa wamemuasi. Mfano kuna kipindi ulaya watu walikufa kama nzige kwa magonjwa ya maji lkn wayahudi diasporas walikuwa hawafi hadi wakasingiziwa wao ndio wameweka sumu mitoni na kutangaziwa kuuwawa. Kumbe wao Mungu aliwafundisha health principles na zikawa sehemu za maisha yao. Dunia nzima tunaakili sawa hakuna myahudi wala mwarabu wala mweusi, Kama hizo habari wangezipata mapema raia wa dunia na kuzitumia zingewanufaisha mapema. Sasa nguvu kubwa ilikituka na wachache kuwafanya waamini kwanza huku wakipata upinzani mkubwa na kuuwawa.

2:Hiyo sio kweli maana Mtu wa kwanza kugundua hilo ni kwa Kuisoma bibilia na kuamini mashauri yake huku akipingwa vikali na walioamini dunia ni meza iliyotulia. Ndio maana nimesema hata mkuu wa FLAT EARTH SOCIETY ni Evolitionist na lengo hapa ni kupingana na ukweli huu kwa kujua au kutokujua. Soma mwenyewe Yoshua 10. hapo pia suala ilikuwa ni kuichelewesha siku ili mapambano yaendelee hadi mwisho bila giza kuingia. Wasioamini Bibilia NDio waliamini hiyo pamoja na walioamini bibilia kwa kuchanganya na Culture na philosophy za wagiriki ambao ndivyo walivyoamini Sio watu wa Bibilia.
 
1: Nimekueleza vizuri japo sijui kila kitu. Wengi wao walionyeshwa katika njozi na maono vingine vikubwa ambayo hata vikiwekwa mezani humu Dunia nzima itakataa lkn ni kwasabu iko limited. Wao haya mambo waliyaona kwa imani na ukisoma utashangaa maana wao wenyewe hadi walikuwa limited na misamiati ya kuviita au kuvitamka. Sasa wao walijikita kwenye kueneza Moral issues. Ila kama Dunia ingeipokea na kupokea hayo mambo ambayo Mungu alitaka mapema zaidi basi tungekuwa mbali. Wayahudi wachache walinufaika hata walipokuwa wamemuasi. Mfano kuna kipindi ulaya watu walikufa kama nzige kwa magonjwa ya maji lkn wayahudi diasporas walikuwa hawafi hadi wakasingiziwa wao ndio wameweka sumu mitoni na kutangaziwa kuuwawa. Kumbe wao Mungu aliwafundisha health principles na zikawa sehemu za maisha yao. Dunia nzima tunaakili sawa hakuna myahudi wala mwarabu wala mweusi, Kama hizo habari wangezipata mapema raia wa dunia na kuzitumia zingewanufaisha mapema. Sasa nguvu kubwa ilikituka na wachache kuwafanya waamini kwanza huku wakipata upinzani mkubwa na kuuwawa.

2:Hiyo sio kweli maana Mtu wa kwanza kugundua hilo ni kwa Kuisoma bibilia na kuamini mashauri yake huku akipingwa vikali na walioamini dunia ni meza iliyotulia. Ndio maana nimesema hata mkuu wa FLAT EARTH SOCIETY ni Evolitionist na lengo hapa ni kupingana na ukweli huu kwa kujua au kutokujua. Soma mwenyewe Yoshua 10. hapo pia suala ilikuwa ni kuichelewesha siku ili mapambano yaendelee hadi mwisho bila giza kuingia.
Kitendo cha Yesu kupanda juu ya mnara na kusema Shetani amemuonesha falme zote, kinathibitisha Yesu aliamini Flat Earth Theory.Hakuna altitude unayoweza kusimama na kuona NYC na Tokyo kwa wakati mmoja.Mkuu kwa haya maelezo yako umechemka sana!
 
Kitendo cha Yesu kupanda juu ya mnara na kusema Shetani amemuonesha falme zote, kinathibitisha Yesu aliamini Flat Earth Theory.Hakuna altitude unayoweza kusimama na kuona NYC na Tokyo kwa wakati mmoja.Mkuu kwa haya maelezo yako umechemka sana!Wacha nimwiite@Kiranga njoo ushuhudie hizi drama.
1: Jifunze kusimama mwenyewe naona unamwita mwalimu wako hapa atakuwa anachungulia na kurudi kutafuta uzushi maana huko ni proffesional. Rudi kwenye mada.
2:Maneno unayotoa pia ni madhara ya Uongo wa shetani. Shetani alimpandisha yesu Kwenye mnara wa kanisa ili ajirushe Mungu amuokoe na Yesu akamjibu alivyomjibu na sio ili Aone Ulimwengu wote.
3: Shetani alimpandisha Juu ya Mlima Mrefu(Exceedingly high mountain)(wanaujua wao shetani na yesu mimi siujui) na Shetani ndiye aliyemuonyesha (Sasa kama wewe unamwamini zaidi shetani aliyemdanyanya alistotle mimi simo). NA Yesu alichojibu hakikuhusiana na Uduara wa Dunia na Ila Magoti Yanapigwa kwa Mungu tu. Hata shetani atakushangaa unavyomlisha maneno yesu.
Pili Shetani mwenyewe alikuwa na akili ya akiba hajamuonyesha Dunia Nzima bali Falme za Dunia. Unajua Population yta dunia 27AD ilikuwa ngapi, wenda Engaruka walikuwa wanaishi sokwe ambao leo unaambiwa ni watu enzi hizo, Kama Million 170 tu ambao ni watu wa majimbo mawili au matatu tu china. New york enzi hizo palikuwa ni kama Serengeti National Park na Tokyo kama mabwepande. Sasa hata kama wewe shetani utakuwa huna akili kumshawishi kiumbe supernatural kwa uchgafu. Pia yesu alijua DUNIA (DUara) na vyote viijazavyo ni mali yake ni sawa kumwambia Magufuli nitakupa Ikulu ya Magogoni ukinipa UDAS.
 
Hahahaha, hii thread inathibitishwa jinsi mbumbumbu anapojaribu kujastify ujinga anakuwa mpumbav!
 
Kitendo cha Yesu kupanda juu ya mnara na kusema Shetani amemuonesha falme zote, kinathibitisha Yesu aliamini Flat Earth Theory.Hakuna altitude unayoweza kusimama na kuona NYC na Tokyo kwa wakati mmoja.Mkuu kwa haya maelezo yako umechemka sana!
Tatizo lako na mdau wako yule ni SEMMELWEIS EFFECT au SEMMELWEIS REFLEX. na hiki ndicho kilichopelekea Pro- Aristotle kuabishwa na Galileo.
 
Karibu mkuu. Pitia Post 01 hapo upate madini changamoto zinakaribishwa

Ninafuatilia ndugu yangu. Naona unatetea kile kitabu. Not bad, ni mitazamo.

Sasa Mkuu, hivi tungekuwa tunaishi kwa biblia tu. No science and no other religions. Unaona tungekuwa tumeitumia akili yetu vyema. Ufahamu wetu ungekwepo zaidi ya sasa?
 
Ninafuatilia ndugu yangu. Naona unatetea kile kitabu. Not bad, ni mitazamo.

Sasa Mkuu, hivi tungekuwa tunaishi kwa biblia tu. No science and no other religions. Unaona tungekuwa tumeitumia akili yetu vyema. Ufahamu wetu ungekwepo zaidi ya sasa?
Kwa nini unasema hivyo, Mbona bibilia inastimulate learning, science, etc. Mfano tu,
Wafalme wa zamani walikuwa wanazungukwa na Elites kutoka kila kona ya dunia kama washauri. Lakini mahala hapo au kwenye kundi hilo akiwepo mtu wa bibilia anawa-outperform wote. Soma daniel na ndugu zake watatu walikuwa bora mara kumi ya washauri wa mfalme wa wakaldayo. Hakuna waliomsogelea kwa Hekima akili na maarifa.

Mfano: Yusufu katoka kwenye nyumba tu ya baba yake hajasoma chochote, Lakini alipofika Misri mahala ambapo palikuwa na wasomi dini za kila aina na wastaarabu dunia nzima Akawa 2IC wa Farao cheo zaidi ya waziri mkuu maana aliwaoutperform wamisri wote. Na aliweka plan za kitaifa na kusimamia miradi mikubwa bila kutetereka kwa ufanisi uliotukuka.

Nehemia Kazaliwa Uhamishoni lakini Kwa ufalme woote wa waajemi akiwa kijana mdogo kabisa akapewa position ya CUPBEARER wa mfalme. Nafasi ambayo ni zaidi ya mshauri na Mtu wa kuaminiwa na huchezi mbali na Mfalme. Na lisimamia Project ya ujenzi wa Ukuta yerusalem Kwa plan ambazo leo ndio watu wanajifunza darasani.

Ukweli ni kwamba Dunia isingekuwa na watu wasiotumia akili, Haya mawazo yamepandikizwa na watu wenye chuki na bibilia. Dunia ingekuwa mbali. Wengine tunaonekana na uwezo mdogo au watuna impact sana kwa sababu hatujalichukulia neno katika uzito wake. Kwa neno hilo unaweza kuwa archaeologist bora sana dunia nzima.
 
Kama unavyoeleza ni sawa lakini hiyo hiyo bible ilikuwa inatuaminisha ukiuchunguza sana ulimwengu unakufuru Mungu hapendi (rejea mnara wa babeli) hata kuchelewa kwa technology huwenda ilichangiwa zaidi na bible hiyo hiyo
Nimekuelewa sana tu, Bibilia haijawahi kuhamasisha mwanadamu asiuchunguze ulimwengu ila ni watu ndio wanatishana tu. Bibilia inataka uchunguze kila kitu ulimwengu na universe maana katika kuchunguza utajua kumbe Mungu hayuko responsible na Dunai tu, Bali Kuna zaidi ya unseptuagintillions sio trillions tu ya Sayari, bodies, na yawezekana hata huko kuna viumbe na kwa kufanya hivyo utazidi kumuona Mungu na Ukubwa wake na upeo wake na Scientists wanagundua constants and balancing za ajabu ambazo kwazo dunia inaexist vinginevyo ingeripuka au kusingekuwa na maisha. Yote haya Yanaongeza unyenyekevu utii na hofu ya dhati kwa Muumba wa Mbingu na nchi. Kuna watu wanamueshimu Mungu katika level za solar system tu wakati hii ni kama pinje moja tu ya mchanga wa baharini. Kuchunguza kazi za Mungu kuliifanya dunia nzima akiwemo malkia wa sheba kufunga safari kwenda kumshangaa Mfalme Suleiman aliyepoteza Muda kuchunguza hadi maisha ya Mchwa na sisimizi.

Mnara wa babeli.
Hawa waliongozwa na Nimrod ili kumpinga Mungu. Kiukweli wasingemfikia Mungu wala wingu, maana Mungu yuko nje ya Universe na kipenyo cha universe ili utoke ufike huko ilibidi wajenge mnara wenye urefu wa Googolplex (namba ambayo hata wanasayansi hawaitumii maana haiwezekaniki). Pia walikuwa wanafanya utoto maana Mungu aliweka upinde wa mvua kuwa hataangamiza dunia nzima kwa Maji wao walikuwa wanafikiri ikija gharika wakimbie. Pia waliambiwa waijaze nchi wao wakawa wanang'anga'ania kasehemu kamoja tu. Haikuwa uvumbuzi pale zaidi ya mambo yasiyo na maana. Mbona walikuwepo wakina Nebkadneza aliyetengeneza bustani inayoelea, na inasemekana alikwa na uwezo mkubwa sana na geneous wa architectural designs.Huyu mtu Mungu alimuindorse na kumkubali sana japo hakuwa muisrael.
 
Kwa nini unasema hivyo, Mbona bibilia inastimulate learning, science, etc. Mfano tu,
Wafalme wa zamani walikuwa wanazungukwa na Elites kutoka kila kona ya dunia kama washauri.
Bosi kumbuka wakati huo wa kina Yousef haikuwepo hiyo biblia unayo isemea. Hawa nadhani walisoma torat tuu au walikuwa na iman zao hizo za kiyahudi.
Kuna vitu unachanganya.
Biblia ni nini?
Ilianza kutumika kipindi kipi?
Na lini iliitwa biblia ?

Nadhani hapo utajua mengi zaid
Nawasilisha
 
Bosi kumbuka wakati huo wa kina Yousef haikuwepo hiyo biblia unayo isemea. Hawa nadhani walisoma torat tuu au walikuwa na iman zao hizo za kiyahudi.
Kuna vitu unachanganya.
Biblia ni nini?
Ilianza kutumika kipindi kipi?
Na lini iliitwa biblia ?

Nadhani hapo utajua mengi zaid
Nawasilisha
Ninapotaja bibilia na maanisha contents, Ni kweli wakati wa yusufu hakukuwa hata hizo torati maana zilikuja miama zaidi ya 400 baada yake. Ninaposema bibilia namaanisha neno la Mungu na sio tu compilation of 66 books tunalotumia sasa. Kwa maelezo hayo nathani tuko pamoja, Maswali kuhusu bibilia kama compilation ya vitabu vingi hiyo ni mada nyingine mkuu.
 
Ninapotaja bibilia na maanisha contents, Ni kweli wakati wa yusufu hakukuwa hata hizo torati maana zilikuja miama zaidi ya 400 baada yake. Ninaposema bibilia namaanisha neno la Mungu na sio tu compilation of 66 books tunalotumia sasa. Kwa maelezo hayo nathani tuko pamoja, Maswali kuhusu bibilia kama compilation ya vitabu vingi hiyo ni mada nyingine mkuu.
Lakini wewe ndio ulitumia nenk biblia kuzungumzia mambo ya kina Ayub na aYousef so sidhani kama nimetoka nje ya mada. Ila nime point kitu ulicho kisema mwenyewe then nika changia
Nimetoa muendelezo wa mada nadhani.
Usku mwema
 
Lakini wewe ndio ulitumia nenk biblia kuzungumzia mambo ya kina Ayub na aYousef so sidhani kama nimetoka nje ya mada. Ila nime point kitu ulicho kisema mwenyewe then nika changia
Nimetoa muendelezo wa mada nadhani.
Usku mwema
Uko sawa, Karibu
 
Back
Top Bottom