Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,271
- 24,270
Bible inakinzana na Sayansi, hivyo imewajengea watu hofu ya kushindwa kufanya utafiti duniani.uko sawa, uongo ni mtazamo.
Waumini walio wengi wanaamini kuwa kuchunguza dunia ni kumchunguza Mungu pia,
Hivyo Bible inarudisha nyuma technology