FACTS 11: Kama wanasayansi wangesoma BIBLIA, Technology ya sasa ingekuwa Zamani Sana

Mbona hao walioandika na kusoma Bibilia tangu mwanzo hawakugundua hivyo vitu?
Wao walikuwa wanashughulikia Moral part of life. Labda tuwape credits wazee wa R&D wa israel maana kwa maneno hayahaya wanaongoza karibu kila sehemu wanayofanya utafiti. Mfano tu kwa kukumbuka wale nzige waliokula mashamba ya Wamisri Katika mapigo saba Ya Farao. Leo vijana wao wako kwenye R&D ya Nanolobotic Grasshopper which will transform the fuiture of the world.
 
1In the beginning God created the heavens and the earth. 2Now the earth was formless and empty, darkness was over the surface of the deep, and the Spirit of God was hovering over the waters.

3And God said, “Let there be light,” and there was light. 4God saw that the light was good, and he separated the light from the darkness. 5God called the light “day,” and the darkness he called “night.” And there was evening, and there was morning—the first day.

6And God said, “Let there be a vault between the waters to separate water from water.” 7So God made the vault and separated the water under the vault from the water above it. And it was so. 8God called the vault “sky.” And there was evening, and there was morning—the second day.

9And God said, “Let the water under the sky be gathered to one place, and let dry ground appear.” And it was so. 10God called the dry ground “land,” and the gathered waters he called “seas.” And God saw that it was good.

11Then God said, “Let the land produce vegetation: seed-bearing plants and trees on the land that bear fruit with seed in it, according to their various kinds.” And it was so. 12The land produced vegetation: plants bearing seed according to their kinds and trees bearing fruit with seed in it according to their kinds. And God saw that it was good. 13And there was evening, and there was morning—the third day.

14And God said, “Let there be lights in the vault of the sky to separate the day from the night, and let them serve as signs to mark sacred times, and days and years, 15and let them be lights in the vault of the sky to give light on the earth.” And it was so. 16God made two great lights—the greater light to govern the day and the lesser light to govern the night. He also made the stars. 17God set them in the vault of the sky to give light on the earth, 18to govern the day and the night, and to separate light from darkness. And God saw that it was good. 19And there was evening, and there was morning—the fourth day.

20And God said, “Let the water teem with living creatures, and let birds fly above the earth across the vault of the sky.” 21So God created the great creatures of the sea and every living thing with which the water teems and that moves about in it, according to their kinds, and every winged bird according to its kind. And God saw that it was good. 22God blessed them and said, “Be fruitful and increase in number and fill the water in the seas, and let the birds increase on the earth.” 23And there was evening, and there was morning—the fifth day.

24And God said, “Let the land produce living creatures according to their kinds: the livestock, the creatures that move along the ground, and the wild animals, each according to its kind.” And it was so. 25God made the wild animals according to their kinds, the livestock according to their kinds, and all the creatures that move along the ground according to their kinds. And God saw that it was good.

26Then God said, “Let us make mankind in our image, in our likeness, so that they may rule over the fish in the sea and the birds in the sky, over the livestock and all the wild animals,a and over all the creatures that move along the ground.”

27So God created mankind in his own image,

in the image of God he created them;

male and female he created them.

28God blessed them and said to them, “Be fruitful and increase in number; fill the earth and subdue it. Rule over the fish in the sea and the birds in the sky and over every living creature that moves on the ground.”

29Then God said, “I give you every seed-bearing plant on the face of the whole earth and every tree that has fruit with seed in it. They will be yours for food. 30And to all the beasts of the earth and all the birds in the sky and all the creatures that move along the ground—everything that has the breath of life in it—I give every green plant for food.” And it was so.

31God saw all that he had made, and it was very good. And there was evening, and there was morning—the sixth day.
Hii ndio summary ya dunia. Unaweza kuifanyia research miaka zaidi ya 100 bila kuimaliza
Mfano:

1In the beginning God created the heavens and the earth.
Hapo tu: BEGINNING - Start of time,
HEAVENS: - Universse/space
Earth - Matter

TIME
Past, Future and Present
SPACE
Length, Width, Heights,
MATTER
Solid, Liquid and Gas

Mkuu hapo tu kwenye ulimwengu wa sayansi hawajapamaliza, walichikifanya ni kama 1/100000000000000000000.
The bible is the origin of Science
 
Kwa mfano mke wako akiugua kifua kikuu, je utampeleka kwenye maombi au utampeleka hospital?
Acha uswahili hapa mambo yanajadiliwa kwa mtazamo wa sayansi. Huyo Unampa Miti shamba tu kama Mungu alivyomwambia ISAYA atumie tini kumponya mfalme ezekia majipu. Pia Tunae DR Luka mwandishi wa kitabu cha Luka na Matendo ya Mitume. FAITH DOES NOT IGNORE MEDICATION, BUT THE ADVANTAGE IS THAT YOU HAVE WIDER RANGE OF POSSIBILITIES.
 
Bible inakinzana na Sayansi, hivyo imewajengea watu hofu ya kushindwa kufanya utafiti duniani.
Waumini walio wengi wanaamini kuwa kuchunguza dunia ni kumchunguza Mungu pia,

Hivyo Bible inarudisha nyuma technology
25 Famous Scientists Who Believed in God
Bibilia inahamasisha kuchunguza kazi za uumbaji maana kupitia hizo Zitakufanya kuwa sugu kiimani.
Newton, Galileo, Einstain, Marcon, Boyle k na wengine wengi waliamini Mungu kwa kiasi flani na UUMBAJI. Tatizo kuna watu wamevamia Bibilia na kutaka kuendesha wanadamu wenzao kama ng'ombe.
 
Wao walikuwa wanashughulikia Moral part of life. Labda tuwape credits wazee wa R&D wa israel maana kwa maneno hayahaya wanaongoza karibu kila sehemu wanayofanya utafiti. Mfano tu kwa kukumbuka wale nzige waliokula mashamba ya Wamisri Katika mapigo saba Ya Farao. Leo vijana wao wako kwenye R&D ya Nanolobotic Grasshopper which will transform the fuiture of the world.
Nyie huwa hamkosi cha kusema pindi mnapobananishwa, mnaona mpo 100% kwa usahihi.Unakumbuka kifo cha Galileo?
 
Bible inakinzana na Sayansi, hivyo imewajengea watu hofu ya kushindwa kufanya utafiti duniani.
Waumini walio wengi wanaamini kuwa kuchunguza dunia ni kumchunguza Mungu pia,

Hivyo Bible inarudisha nyuma technology
Tamko lako hili ni hatari sana. Ikithibitishwa humu kuwa Biblia na sayansi hazikinzani utakuwa umeuawa kielimu. Tofauti ya sayansi na Biblia kwa mtazamo wangu ni kuwa Biblia inampa Mungu uwajibikaji wa chanzo cha maisha ulimwenguni yaani chanzo cha mwanadamu, wanyama na viumbe vyote vyenye uhai. Sayansi haitambui chimbuko hilo la kimungu. Sayansi inakata muunganiko kati ya Mungu na uhai duniani. Biblia inasema kwa kila kitu Mungu kwanza. Mungu ndiye Alpha na Omega. Niseme tu wanachokisema sayansi leo Mungu alikwisha kisema ama kukiona kale kabisa hata kabla ya kuwekwa kwa misingi ya Ulimwengu.
 
25 Famous Scientists Who Believed in God
Bibilia inahamasisha kuchunguza kazi za uumbaji maana kupitia hizo Zitakufanya kuwa sugu kiimani.
Newton, Galileo, Einstain, Marcon, Boyle k na wengine wengi waliamini Mungu kwa kiasi flani na UUMBAJI. Tatizo kuna watu wamevamia Bibilia na kutaka kuendesha wanadamu wenzao kama ng'ombe.
Bro uko sahihi lakini unazungumziaje newton aliye soma bible akasema kuwa ishu ya utatu wa Mungu si kweli!!? Japo ipo kwenye bible humo humo.
Mwenzio ali itumia Bible kama kitu tu cha kucheki vitu vinavyo mfaa na visivyo mfaa hakufuata.
Hata jana nilikwambia kuwa kwenye vitabu 72 vya biblia huwezi kosa vitu vya kukusaidia kupata reality kwa sababu unacheza na tafsiri pia unaweza kuchukua one line kama ulivo fanya halafu uka husianisha tuu.
But bado hiyo haijalishi kuwa eti ndio Mungu aliyasema hayo au ndio ni kweli Mungu yupo.
 
Nyie huwa hamkosi cha kusema pindi mnapobananishwa, mnaona mpo 100% kwa usahihi.Unakumbuka kifo cha Galileo?
Ni makosa kuamini kuwa uko sahihi 100% maana itakujengea kiburi na inaua appetite ya kujifunza na kuexplore the palatable word of God, Neno lenyewe limekaa indirect ili ulichimbe saana so Nakuelewa.

Turudi kwa Galileo. Ukizama ndani zaidi Utagundua ilikuwa ni VITA YA WANASAYANSI . Galileo alipigwa fitna na wanasayansi wenzake waliokuwa anapingana nao. Ndio maana wakapenyeza uzushi kwa papa kuwa kama jamaa akiachwa atasababisha machafuko. Lakini ukumbuke alihukumiwa mahakamani ila pia siku chache kabla ya kuhukumiwa alikuwa anataka kupewa tuzo na utawala wa kanisa. Zama kidogo utagundua vingi. Hili mimi nimelijua this week kapla ya hapo niliamini kama wewe. Nadhani ndio maana hakufungwa jela alikuwa kifungo cha nje tu na kuzuiwa kuendeleza kazi zake kwa kiasi flani.
 
Ni makosa kuamini kuwa uko sahihi 100% maana itakujengea kiburi na inaua appetite ya kujifunza na kuexplore the palatable word of God, Neno lenyewe limekaa indirect ili ulichimbe saana so Nakuelewa.

Turudi kwa Galileo. Ukizama ndani zaidi Utagundua ilikuwa ni VITA YA WANASAYANSI . Galileo alipigwa fitna na wanasayansi wenzake waliokuwa anapingana nao. Ndio maana wakapenyeza uzushi kwa papa kuwa kama jamaa akiachwa atasababisha machafuko. Lakini ukumbuke alihukumiwa mahakamani ila pia siku chache kabla ya kuhukumiwa alikuwa anataka kupewa tuzo na utawala wa kanisa. Zama kidogo utagundua vingi. Hili mimi nimelijua this week kapla ya hapo niliamini kama wewe. Nadhani ndio maana hakufungwa jela alikuwa kifungo cha nje tu na kuzuiwa kuendeleza kazi zake kwa kiasi flani.
Uchoeleza sii kwel.Hivi unajua kuwa Bible meandika Jua ndilo linaloizunguka Dunia?
 
25 Famous Scientists Who Believed in God
Bibilia inahamasisha kuchunguza kazi za uumbaji maana kupitia hizo Zitakufanya kuwa sugu kiimani.
Newton, Galileo, Einstain, Marcon, Boyle k na wengine wengi waliamini Mungu kwa kiasi flani na UUMBAJI. Tatizo kuna watu wamevamia Bibilia na kutaka kuendesha wanadamu wenzao kama ng'ombe.
Kwa hiyo umekiri kwamba wapo waumini(walio wengi) wanaamini kuijua sayansi in Deep, ni kujiweka mbali na Mungu(kukufuru)?
Bibilia imetoa options zote, Kusomewa bibilia kumewafanya wanadamu kuwa watumwa wa wanadamu wenzao

Acha uswahili hapa mambo yanajadiliwa kwa mtazamo wa sayansi. Huyo Unampa Miti shamba tu kama Mungu alivyomwambia ISAYA atumie tini kumponya mfalme ezekia majipu. Pia Tunae DR Luka mwandishi wa kitabu cha Luka na Matendo ya Mitume. FAITH DOES NOT IGNORE TEACH TO MEDICATION, BUT THE ADVANTAGE IS THAT YOU HAVE WIDER RANGE OF POSSIBILITIES.
 
Uchoeleza sii kwel.Hivi unajua kuwa Bible meandika Jua ndilo linaloizunguka Dunia?
Mkuu hapa vita vilikuwa nje ya bibilia, Read take time to read.
Aristotle (384-322 B.C.) aliamini Dunia ilikuwa ni stationary round with finite universe, Kumbuka Dola la kirumi (Roman empire) lilikuwa linawaapreciate wagiriki kiasi kwamba waliiga kila kitu na Greece philosphy ikawa ni roman philosophy, Na ukumbuke warumi wote wakati huo kitu chochote kule ikiwemo sayansi na hekima waliangalia Aristote anasemaje. Ulipokuja utawala wa warumi waliojiusisha na dini wakina Orion, Augustine na crement kosa walilolifanya ni Kuunganisha Philosophy(Greece), Culture na Theology. Na Mtu wa kwanza kabisa kuathiliwa alikuwa Copernicus baada ya kufungiwa kitabu chake na Galileo kuendeleza His findings. Sasa walikuwepo wanasayansi wengi waliendeleza fikra za Aristote na ikumbukwe were partialy imbeded in catholic theology na Culture. Hapo ndipo walipopata ground ya kumpin na kueneza uchochezi kwa Galileo ambaye yeye aliamini katika Mungu pia. Sasa hapa ndio unapata ideo ya kusingiziwa kuleta machafuko na Wanasayansi wafuasi wa aristotle wakapatia hapo mteremko.

Katika bibilia ni Mahali pamoja inaelezwa jia lilisimamamishwa na Mungu ili JOSHUA aamini anachoambiwa na Siku iwe ndefu ili vita viendelee. Kwa Lugha nyingine Hili jua lilipofika saa sita mchana halikuenda magharibi(VISUALLY) lakini Mwenye alijua alichokifanya na kinajulikana leo nini kilifanyika.
images

upload_2016-10-20_21-44-24.jpeg
 
Mkuu hapa vita vilikuwa nje ya bibilia, Read take time to read.
Aristotle (384-322 B.C.) aliamini Dunia ilikuwa ni stationary round with finite universe, Kumbuka Dola la kirumi (Roman empire) lilikuwa linawaapreciate wagiriki kiasi kwamba waliiga kila kitu na Greece philosphy ikawa ni roman philosophy, Na ukumbuke warumi wote wakati huo kitu chochote kule ikiwemo sayansi na hekima waliangalia Aristote anasemaje. Ulipokuja utawala wa warumi waliojiusisha na dini wakina Orion, Augustine na crement kosa walilolifanya ni Kuunganisha Philosophy(Greece), Culture na Theology. Na Mtu wa kwanza kabisa kuathiliwa alikuwa Copernicus baada ya kufungiwa kitabu chake na Galileo kuendeleza His findings. Sasa walikuwepo wanasayansi wengi waliendeleza fikra za Aristote na ikumbukwe were partialy imbeded in catholic theology na Culture. Hapo ndipo walipopata ground ya kumpin na kueneza uchochezi kwa Galileo ambaye yeye aliamini katika Mungu pia. Sasa hapa ndio unapata ideo ya kusingiziwa kuleta machafuko na Wanasayansi wafuasi wa aristotle wakapatia hapo mteremko.

Katika bibilia ni Mahali pamoja inaelezwa jia lilisimamamishwa na Mungu ili Gideon aamini anachoambiwa. Kwa Lugha nyingine Hili jua lilipofika saa sita mchana halikuenda magharibi(VISUALLY) lakini Mwenye alijua alichokifanya na kinajulikana leo nini kilifanyika.
images

View attachment 421592
Umehangaika kuandika vitu vya uongo na usivyovijua pengine.Yaani kitu kimeandikwa kwenye Bibilia halafu unasema eti kilikuwa nje ya Bibilia?....Hata aibu huoni?

Ili kusimamisha kitu lazima kiwe kwenye motion, sasa kama Mungu alisimamisha Jua inamaana Mungu alijua kwamba jua ndilo linaloizunguka dunia ili hali mi kinyume hake.......Kumbe Bible inawezakuwa ushahidi tosha wa kuwa Mungu siyo muumbaji wa ulimwengu.
 
Bro uko sahihi lakini unazungumziaje newton aliye soma bible akasema kuwa ishu ya utatu wa Mungu si kweli!!? Japo ipo kwenye bible humo humo.
Mwenzio ali itumia Bible kama kitu tu cha kucheki vitu vinavyo mfaa na visivyo mfaa hakufuata.
Hata jana nilikwambia kuwa kwenye vitabu 72 vya biblia huwezi kosa vitu vya kukusaidia kupata reality kwa sababu unacheza na tafsiri pia unaweza kuchukua one line kama ulivo fanya halafu uka husianisha tuu.
But bado hiyo haijalishi kuwa eti ndio Mungu aliyasema hayo au ndio ni kweli Mungu yupo.
Nakupata ICEman 3D. mawazo mazuri, Katika bibilia kuna vitu vingi ambavyo vinahitaji continous study (Ni kama mto utiririkao). Ndio maana nilimwambia mdau Chamilton
" The bible is simple for a child to read and understand and deep enough for scholars to reach the bottom"
Vitabu 66 (27 Agano jipya na 39 la kale) ndivyo vinavyokubalika ktk ulimwengu wa wakristo na wayahudi (kuweka kumbukumbu sawa) Ila tusiende huko tukaamisha mjadala.

Hata wewe Ukichukua mstari mmoja tu wa bibilia unaweza kubadilisha maisha yako milele. Hapa Tunazungumzia Bibilia na Science. Ingawa ulihoji uhalali wa maandiko yenyewe uwepo ila leo tena unahoji Utumiaji wa Maandiko hayo hapa unaonyesha lack of consistence katika kuleta changamoto. Mimi ninachokiona kwenye bibilia ni kama Mtu Ujenge nyumba ya ajabu na technology yajuu na gharama kisha team ya wavumbuzi wakakutana nayo wakati wa utafiti. Kisha kila mmoja akaanza kuchunguza Tiles, Madini yaliyotumika, Material ya Paa, Bustani zimewekwa kwa combination ipi ya mbolea. Mimi ndivyo nionavyo wanasayansi wanafanya ingawa huyo mwenye nyumba ameshawaadithia vingi sana. Na wewe kama ukitaka kufanikiwa kwenye career yako tembelea mule kwenye kitabu hutatoka bure.
 
Umehangaika kuandika vitu vya uongo na usivyovijua pengine.Yaani kitu kimeandikwa kwenye Bibilia halafu unasema eti kilikuwa nje ya Bibilia?....Hata aibu huoni?

Ili kusimamisha kitu lazima kiwe kwenye motion, sasa kama Mungu alisimamisha Jua inamaana Mungu alijua kwamba jua ndilo linaloizunguka dunia ili hali mi kinyume hake.......Kumbe Bible inawezakuwa ushahidi tosha wa kuwa Mungu siyo muumbaji wa ulimwengu.
Mkuu kumbe kukomaa kote unatafuta njia na ground ya kujusfty vitu unavyoviamini
"God is known by nature in his works, and by doctrine in his revealed word."
Galileo galilei, His inversion was stimulated by the advice of God to explore nature including what happened with Gideon. Reading it needs Thinking .
Na hapa ndipo alipompoteza mtu anaitwa aristotle na wafuasi wake ambao hadi leo wametapakaa humu.
Mfano; aliwahi kuwadharirisha mbele ya adhara pro-aristotle alivyodemonstrate kuwa bodies of different weights fall with the same speed. Chuki ya kuaibishwa haikuwa ndogo.
 
Mkuu kumbe kukomaa kote unatafuta njia na ground ya kujusfty vitu unavyoviamini
"God is known by nature in his works, and by doctrine in his revealed word."
Galileo galilei, His inversion was stimulated by the advice of God to explore nature including what happened with Gideon. Reading it needs Thinking .
Na hapa ndipo alipompoteza mtu anaitwa aristotle na wafuasi wake ambao hadi leo wametapakaa humu.
Mfano; aliwahi kuwadharirisha mbele ya adhara pro-aristotle alivyodemonstrate kuwa bodies of different weights fall with the same speed. Chuki ya kuaibishwa haikuwa ndogo.
Mkuu usiniwaze kwa ubaya kwamba nataka kupinga uumbaji wa Mungu(ninafahamu fika hapa sii mahala pake), ninachokataa ni hoja uliyoileta kwa sababu mbili[ingawa zipo zaidi]
1.Kwa nini walioiandika na kuisoma Bibilia tangu mwanzoni hawakugundua hivyo vitu?

2.Bibilia imesheheni mambo yanayopingana na uelewa wa sasa kama vile Jua kuzunguka dunia.
 
Back
Top Bottom