yAAANI HAPO NDIPO NAIPENDEA CHADEMA MIMI!
WATU WAPO WAZI UNAFIKI HAKUNA WAO WANAKULA RUSHWA ZA MAMILION UMNYOOSHEE NANI KIDOLE ZE MAGAMBAAA'S
Leo Wanje kanifurahisha sana
Wanje kasema
hawezi kusema ni sahihi polisi kula rushwa pia hawezi kutumia nguvu na akili nyingi kupiga kelele kwa polisi wapunguze rushwa
Akaongeza wabunge wengi wa CCM wanawakandia polisi kwa kula rushwa ila wanasahau kuwa polisi wameamua kujimegea kilicho mbele yao kama vile mawaziri wanavyojimegea.
Akamaliza hivi :kama tunataka rushwa ikomeshwa ndani ya jeshi la polisi tuimalize kwanza kwenye baraza la mawaziri na wakuu wa idara vinginevyo tuwaache polisi waendelee hivyohivyo walivyo.
my take: ccm wasilinyooshee kidole jeshi la polisi kwa rushwa kwani na wao (ccm) NI MAFISADI WAKUBWA.
Kikubwa kinachofurahisha ni kwamba muda mwingi Chadema wanatoa hoja za mateso na shida wanayopata wanainchi, Wakati Serikali na wabunge wa CCM vilevile wao ni kama wako mahakamani muda wote ni kukanusha yale ya CDM walichosema na kidogo mwisho wanaelezea shida za wanainchi ktk mtindo wa .."machozi ya Mamba"
CCM/Serikali wameingia ktk mtego ambao nafikiri kwa usingizi walio nao hawataona kamba imefungwa wapi
Chadema endeleeni hivyo hivyo Jino kwa jino kwani hamukwenda pale kutafuta wachumba wala posho, wengi wanakueleweni tofauti na wao wanavyotangazia umma
Leo Wanje kanifurahisha sana
Wanje kasema
hawezi kusema ni sahihi polisi kula rushwa pia hawezi kutumia nguvu na akili nyingi kupiga kelele kwa polisi wapunguze rushwa
Akaongeza wabunge wengi wa CCM wanawakandia polisi kwa kula rushwa ila wanasahau kuwa polisi wameamua kujimegea kilicho mbele yao kama vile mawaziri wanavyojimegea.
Akamaliza hivi :kama tunataka rushwa ikomeshwa ndani ya jeshi la polisi tuimalize kwanza kwenye baraza la mawaziri na wakuu wa idara vinginevyo tuwaache polisi waendelee hivyohivyo walivyo.
my take: ccm wasilinyooshee kidole jeshi la polisi kwa rushwa kwani na wao (ccm) NI MAFISADI WAKUBWA.
Nitasema ukweli siku zote, unafiki kwangu mwiko. Chadema (Wenje) wako extremly right. Jairo wamemlinda wanawasumbua mapolisi. CCM acha unafiki wacha rushwa tawale. Suluhisho ni nguvu ya Umma.