Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,298
- 2,074
Mwanasheria mkuu amewabeza CDM
Kikubwa kinachofurahisha ni kwamba muda mwingi Chadema wanatoa hoja za mateso na shida wanayopata wanainchi, Wakati Serikali na wabunge wa CCM vilevile wao ni kama wako mahakamani muda wote ni kukanusha yale ya CDM walichosema na kidogo mwisho wanaelezea shida za wanainchi ktk mtindo wa .."machozi ya Mamba"
CCM/Serikali wameingia ktk mtego ambao nafikiri kwa usingizi walio nao hawataona kamba imefungwa wapi
Chadema endeleeni hivyo hivyo Jino kwa jino kwani hamukwenda pale kutafuta wachumba wala posho, wengi wanakueleweni tofauti na wao wanavyotangazia umma