mahusiano yenu hayapo EDEN,kwahiyo ni lazima urelate to wanaokuzungukaMada yetu tunaongelea mahusiano means mpenzi wako na si watu wanaokuzunguka
Naona haujaelewa mada isome vizuri nadhani utaelewa tulikuwa tunaongelea ninimahusiano yenu hayapo EDEN,kwahiyo ni lazima urelate to wanaokuzunguka
Tena aanziwe Le Mutuz.....Sasa hivi tunataka mwanaume kwenye interview bhanaaa....like Le Mutuz,UncleBen.FisadiKuu n.k
Wapumzishe wadada.
Niliwafuatilia kwa karibu.Mada yetu tunaongelea mahusiano means mpenzi wako na si watu wanaokuzunguka
nimeelewa,uliulizwa kuhusu "wanaokuzunguka" na ukasema "mnazungumzia" mahusiano na sio "wanaowazunguka".ndo maana nikasema vile...hata hivyo napita.......Naona haujaelewa mada isome vizuri nadhani utaelewa tulikuwa tunaongelea nini
Kama ulinifatilia vizuri kuna mahali nimeongelea kuhusu familia lazima pia uipe stahiki yake wakati unafanya decision zakoNiliwafuatilia kwa karibu.
Mahusiano ya kimapenzi huwezi kuyaweka mbali na jamii inayowazunguka ili yadumu.
Tofauti ya hilo ni kujidanganya, au!
Karibu sananimeelewa,uliulizwa kuhusu "wanaokuzunguka" na ukasema "mnazungumzia" mahusiano na sio "wanaowazunguka".ndo maana nikasema vile...hata hivyo napita.......
hii interview ni nzuri,ila itabidi ipewe jina fupi na linaloeleweka kama "Love Talk Show"..na pia kuwe na viongozi wa maswali ambao mtu akitaka kuuliza itabidi atumePM kwa baadhi ya viongozi,halafu ndo aje kuuliza hapa tena kwa ufupi na anaye jibu ajibu kwa ufupi......itendeleaKaribu sana
"Specifically" nalenga kwenye jibu lako kwamba uzito wa maamuzi yako ya mapenzi ni imani yako, wakati wanaowauzunguka (wewe na mwenzi kila mmoja kwa nafsi yake) wana imani tofauti, mtihani huo unaushindaje, kudumisha mahusuano kwenye milima na mabonde ya majaribu!!!Kama ulinifatilia vizuri kuna mahali nimeongelea kuhusu familia lazima pia uipe stahiki yake wakati unafanya decision zako
Na ukiipata hayo maruhani yako ubaki nayo hukohuko plsNgoja nitafune Pilipili kichaa yangu....
Nimeona mambo ya sexual position,size matters etc.unamaana gani mkuu?
Hivi nifah ushawahi kuhojiwa??? Naamini ilikiwa interview Kali saana....Sasa hivi tunataka mwanaume kwenye interview bhanaaa....like Le Mutuz,UncleBen.FisadiKuu n.k
Wapumzishe wadada.