jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,273
- 5,543
Nilikuwa na mpenz wangu Nikazaanae mtoto mmoja Tukashindwa kufunga ndoa Kikwanzo din tofauti , Akatoke mume Mwislam mwenzake wakafunga ndoa wakaish Mwaka mmoja kwenye ndoa, Amemuacha mumewe Anata tuludiane na Mimi Naombe maon
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app