Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,446
mmh! linapofika suala la TG sikuwezi maana inawezekana ina uzito kwenye mapenzi tena siku hizi ila siyo lazima ufanye!
Well, amwachie mwenzie afaidi na wife tu! kwanini waliachana?labda sababu hiyo yako uliyotaja..
Hiyo siku hizi ni kigezo cha upendo na kipimo cha penzi kwa mwenzako....kama vile kuzama chumvini ukiona na wewe mtu wako hazani uvinza ujue hakupendi kabisa....uvinza muhimu sasa dada.