Mjulishe rafiki yako juu ya ujinga wa huyo mke wake
Tafuta demu wako acha kutaka kula makombo ya mwingine
Kula tuNaombeni msaada wa mawazo mke wa rafiki yangu ananitaka kimapenzi nifanye je?
Ila mwenetu unafeli sana ilitakiwa uwe umeshamnyoosha ndo uje kuomba ushauri ni jinsi gani utaendelea kumkula bila kugundulika
We chagua ngoja tumkute wa kwako kama hajasahau nguo zake getoHakuna siri kwenye Mapenzi, ni suala la muda tu kabla hujadakwa
Binafsi naweza kulala na mwanamke yoyote ila siyo mke wa mtu
Ukidakwa hakikisha una kichupa cha mafuta lainishiKula tu
Don't ! UsijaribuNaombeni msaada wa mawazo mke wa rafiki yangu ananitaka kimapenzi nifanye je?
Nikikukuta na wangu nakuachia uendelee naye mimi naoa mwingineWe chagua ngoja tumkute wa kwako kama hajasahau nguo zake geto
Ila mwenetu unafeli sana ilitakiwa uwe umeshamnyoosha ndo uje kuomba ushauri ni jinsi gani utaendelea kumkula bila kugundulika
Na huyo nae akijichanganya anashikishwa ukuta siku hz ukiwa mstaarabu sana utakufa na upwiruNikikukuta na wangu nakuachia uendelee naye mimi naoa mwingine
Hakuna ugomvi wala fujo yoyote