Huwa sipendi hizi habari lakini naomba kuandika persoanl experience
Nilikua na dada mmoja mzuri sana tulipendana sana, lakini tukatenganishwa na mazingira(nilienda masomoni Ulaya). Niliporudi nikakuta yupo na jamaa mwingine mimi nikatafuta wangu haraka haraka nikaoa.
Lakini penzi alilopata kwangu halisahau ingawa mimi sikuwa mwanzilishi. Na kwa upande wangu nilikosa kitu fulani(sio tigo wengi mnaweza kufikiri) but kuna handling fulani nimeipata kutoka kwake tu, sijaipata sehemu ingine. Therefore tukawa tunafanya at least once in two months with all precaution... usiniulize kama tumeacha ama la.
My point hapa, sio kuhalalisha kutembea njee ya ndoa na wala sio kumvunjia heshima huyu binti kwa kumtaka kufanya nae ngono bali we had something in common na ndio kilichotufanya bado tuwe pamoja. Anaheshimu sana ndoa yangu na mimi namheshimu sana jamaa yake ingawa yeye hanifahamu na wala mke wangu hamfahamu.
Kitu kingine najua wanawake wengi wanakasirika sana pale mtu aliyeoa kutaka kufanya nae mapenzi. Kuna wakati mahusiano na mtu hayaishi kwa sababu mmoja amemletea mwingine mapozi bali ni factors nyingine which are beyond their control, thanks God this day kuna simu na mtandao mnaweza kukeep intouch kwa karibu zaidi.
Otherwise, kama bado mnamvuto ambao bado mnahisi.... Mimi naona msinyimane, lakini heshimuni commitment zenu na CHUKUENI TAHADHARI YA HALI YA JUUU(mimba, magonjwa, kuvunjika kwa ndoa, na Heshima yenu kwa jamii)
WAZEE WA KUCHOMA NDIZI
Nilikua na dada mmoja mzuri sana tulipendana sana, lakini tukatenganishwa na mazingira(nilienda masomoni Ulaya). Niliporudi nikakuta yupo na jamaa mwingine mimi nikatafuta wangu haraka haraka nikaoa.
Lakini penzi alilopata kwangu halisahau ingawa mimi sikuwa mwanzilishi. Na kwa upande wangu nilikosa kitu fulani(sio tigo wengi mnaweza kufikiri) but kuna handling fulani nimeipata kutoka kwake tu, sijaipata sehemu ingine. Therefore tukawa tunafanya at least once in two months with all precaution... usiniulize kama tumeacha ama la.
My point hapa, sio kuhalalisha kutembea njee ya ndoa na wala sio kumvunjia heshima huyu binti kwa kumtaka kufanya nae ngono bali we had something in common na ndio kilichotufanya bado tuwe pamoja. Anaheshimu sana ndoa yangu na mimi namheshimu sana jamaa yake ingawa yeye hanifahamu na wala mke wangu hamfahamu.
Kitu kingine najua wanawake wengi wanakasirika sana pale mtu aliyeoa kutaka kufanya nae mapenzi. Kuna wakati mahusiano na mtu hayaishi kwa sababu mmoja amemletea mwingine mapozi bali ni factors nyingine which are beyond their control, thanks God this day kuna simu na mtandao mnaweza kukeep intouch kwa karibu zaidi.
Otherwise, kama bado mnamvuto ambao bado mnahisi.... Mimi naona msinyimane, lakini heshimuni commitment zenu na CHUKUENI TAHADHARI YA HALI YA JUUU(mimba, magonjwa, kuvunjika kwa ndoa, na Heshima yenu kwa jamii)
WAZEE WA KUCHOMA NDIZI