asante, na je kifaa cha engine 1NZ kinaweza fungwa kwenye 2NZ au 2SZ kikafaa?hizo ni code za matoleo ya engine kama tu ilivyo kwenye simu ukiona s20 ama A12
Endapo tu vifaa hivyo vinaingiliana. Hizo injini zinatofautiana ukubwa na uwezo.asante, na je kifaa cha engine 1NZ kinaweza fungwa kwenye 2NZ au 2SZ kikafaa?
Weka vifaa OG... na fundi mzuri tu.
Overhaul chuma inakuwa Mpya. Nimefanya juzi ktk Patrol TD42, Inamlio wa tapping ktk Cylinder head inatakiw kupimwa tena.. hilo ndio tatizo dogo tu.. maana hakupima vzr.
Pia uwekaji wa Gasket nzuri, Usafi wa Ufundi na kuweka vimiminika Bora.
OVERHAUL haitaki UBAHILI.
pia jipange unaweza ambiwa hii OVERHAUL yake maybe 1.2M ila utashangaa inakutafuna mpk 2.0M
Engine yoyote ile inafanyiwa overhaul.. kuhusu kiasi hapo ndio sina uhakika.Brother japo nitakuwa out of topic kidogo. Mm nahitaji kujua kwa bajaji inawezekana ukazifanyia overhaul zikarudi kwenye ubora ule ule na makadirio ya costs zinaweza kuwa kiasi gani?
Mkuu naomba kuuliza,kwa uzoefu wako engine ya 3sge ni kweli haiwezekani kufanyiwa overhaul ndio hizo engine kununua mswaki au mpya pale ilala ni ghali mno kuzizidi hata 4gr?-Angalia gharama.
-1NZ ni alumminium block. Ukipata fundi mzuri wa overhaul hilo tatizo litaondoka, ila mlio hautarudi kama ulivyokua, utaongezeka. Na asije mtu akakuambia vifaa vilivyowekwa na fundi wako ni feki ukaifungua tena, hapo ndio utakua umeiua kabisa.
Alminiam ni nyepesi, hivyo unapofunga zile bolt silinda head-block huwa hazikazi kama awali, ukisema uzifungue tena, ukifunga ndio zinapwerepweta kabisaaa na hapo ndipo oili italiwa.
Pia 1NZ engine maisha yake ni kilomita laki mmbili (200,000,km)life spane. Ikifika km 150,000 majanga yataanza kama kula oil, ku vibrate, kutoa mlio wa kugonga nk, hapo utabadili hadi taimingchain na tanshiner yake, gasket karibu zote, rings, kisha itaishi kwa km 50,000. Hapo utoe engine. Sasa angalia gari yako ina km ngapi.
Inafanyiwa na inatulia maana block ni custic iron na sio aluminium.Mkuu naomba kuuliza,kwa uzoefu wako engine ya 3sge ni kweli haiwezekani kufanyiwa overhaul ndio hizo engine kununua mswaki au mpya pale ilala ni ghali mno kuzizidi hata 4gr?
Nilikuona mkuuNiliwahi fanyia overhaul 2sz engine, mapicha niliyoyaona gari ilikua inalia kama trekta, oil inapungua, kumrudishia fundi akapaka maker meengi. ilikuja nizimikia mataa ya kamata. Best option ni kung'oa iliyopo na kuweka mswaki.
tatizo huanzia utajauje km ilizotembea, niliwa kununua engine complete (1MZ) pale ilala na nikauliza nitajuaje uzee wa hii engine? nikajibiwa ni ngumu kujua. nikaichukua na kuifunga kwa imani. gari ilitulia kwa kipindi chote nilichokuwa kuwa nayo (3yrs) mpaka nikaiuza..Kuhusu engine mswaki... kuna kitu huwa sielewi...
Nitahakikishaje quality ya engine? Nitatambuaje kilomita ilizotembea?
-Kaveli-
daaah aisee hilo swali huwa najiuliza sana mpaka huwa naona kama ni bora uagize mwenyewe engine ukiwa unajua na milage yakeKuhusu engine mswaki... kuna kitu huwa sielewi...
Nitahakikishaje quality ya engine? Nitatambuaje kilomita ilizotembea?
-Kaveli-
Nenda Royal Motors Garage pale ubungo extenal opposite na geti la Nimr...Engine ya gari yangu inanizingua kwa kunywa oil. Mafundi wanasema kubadili spare za kwenye engine ni kazi bure. Bora kufanya overhaul kabisa.
Lakini mafundi wengine wananitahadharisha kuwa nikifanya overhaul ndiyo nitakuwa nimeiua engine na itanitesa zaidi.
Wanashauri bora ninunue engine nyingine tu. Hili limekaaje wataalam?
Du! Shida ni kwamba mimi niko mikoani, Mwanza kabisa.Nenda Royal Motors Garage pale ubungo extenal opposite na geti la Nimr...
Hio garege Toyota tz na Nissan wenyewe wanapelekaga pale kaze zao wanazoshindwa... izo overhaul wanazifanya gari inarudi na nguvu ile ile ka ilivyokua mpya...
Mi na jamaa yangu sahidi tushapeleka magari yetu sku hizi tunapeta tuu garage service tuu
Du! Shida ni kwamba mimi niko mikoani, Mwanza kabisa.Nenda Royal Motors Garage pale ubungo extenal opposite na geti la Nimr...
Hio garege Toyota tz na Nissan wenyewe wanapelekaga pale kaze zao wanazoshindwa... izo overhaul wanazifanya gari inarudi na nguvu ile ile ka ilivyokua mpya...
Mi na jamaa yangu sahidi tushapeleka magari yetu sku hizi tunapeta tuu garage service tuu
Duuh pole saana ila ungeweza kuileta ungefanya ivo tuu kuiokoa gari lakoDu! Shida ni kwamba mimi niko mikoani, Mwanza kabisa.
Mwanza sehemu gani?Du! Shida ni kwamba mimi niko mikoani, Mwanza kabisa.