Makobus
Senior Member
- Jul 30, 2012
- 161
- 103
Engine ya gari yangu inanizingua kwa kunywa oil. Mafundi wanasema kubadili spare za kwenye engine ni kazi bure. Bora kufanya overhaul kabisa.
Lakini mafundi wengine wananitahadharisha kuwa nikifanya overhaul ndiyo nitakuwa nimeiua engine na itanitesa zaidi.
Wanashauri bora ninunue engine nyingine tu. Hili limekaaje wataalam?
Lakini mafundi wengine wananitahadharisha kuwa nikifanya overhaul ndiyo nitakuwa nimeiua engine na itanitesa zaidi.
Wanashauri bora ninunue engine nyingine tu. Hili limekaaje wataalam?