The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
YouTube - ‪Fresh Jumbe 'Penzi ni kikohozi'‬‏...aha ha! ...mazoea yana tabu ee?
'Mapenzi ni Homa!' na Mazoea ni sehemu ya mapenzi.
YouTube - ‪Fresh Jumbe 'Penzi ni kikohozi'‬‏...aha ha! ...mazoea yana tabu ee?
'Mapenzi ni Homa!' na Mazoea ni sehemu ya mapenzi.
Cousin unakumbuka huu wimbo wa Fresh Jumbekweli cousin... yaani merytina anaona kabisa hilo ni chaka lakini anatushindilia humo ati ni beach plot
dah!!
Huyu dada anaomba msaada..
Akiwa ndio amemaliza skuli yake na kupangiwa kazi alipofika kwa ofisi akakutana na kaka ambaye hakumpenda hata kidogo kuanzia muonekano mpaka mavazi ,na hakupenda hata salaam yake.
Ila ndo alikuwa jirani kiofisi,kila kaka akimsalimia alijidai hasikii na kuendelea na kazi..
Kasheshe ikaanza siku kaka alipojua jina la huyu Binti na kumtumia email ya salam hakujibu..
kesho yake akatuma tena akajibu dry.. sijambo full stop.dada yuko single kaka hajaoa pia.
Lakini siku zilivyosonga mbele huyu kaka akawa anaingia ofisini kwa dada na salam zake lakini binti alikuwa serious ,,,mara amletee apple dada kamchunia tu.
Issue imeanza pale kaka wa watu alipokosekana ofisini kwa week dada kuuliza kaambiwa anaumwa ndipo alipoamua kutafuta kwake na kupapata..
Kumkuta kaka kweli akiwa hoi hana msaada na kuanza kumuhudumia kuanzia chakula mpaka usafi..kaka kapona na kurudi job.
Issue imeendelea kaka wa watu kasafiri kikazi for 3 month eti binti anahisi kuumwa
Anatamani kumuona hamuoni..
Kumpigia simu napo yuko ovasizi...
Maswali anayojiuliza
1.Mbona alivyomuona mara ya kwanza hakumpenda na alimchukia
2.Hajui nini anakitaka kwa huyu kaka
3.Hivi ni kweli kuna penzi hapa au hisia ...
Nawakilisha!:A S-rose:
Kama nini vile??:biggrin1::biggrin1:Dahhhhh penzi la hivi
tamu kwelI ..
Mamii ni bora kuacha moyo
uchague kuliko macho na akili..
sante mpendwa..
...aha ha! ...mazoea yana tabu ee?
'Mapenzi ni Homa!' na Mazoea ni sehemu ya mapenzi.
Kumbe nikimtongoza mwanamke akakubali ndani ya siku moja nitoke ndukii :biggrin1::biggrin1:Mostly its men who fall in love at first site! we ladies tumeumbwa kwa ukamilifu mno,mwanamke lazima uchunguze,uringe,udeke etc,For me I would say big up for that lady coz anajua thamani yake yy ni mwanamke ambae sio cheap,yani kutongozwa siku moja tu ukubali kwani yy changu?hata changu pia lazima myumbishane japo dakika tano.
Hapo mi naona mapenzi yapo tena sana tu,binti kakaaaa kafikiri akaona kwa ukaribu sifa na vigezo alivyokuwa anavitaka kwa huyo mwanaume,akagundua kumbe na yy anampenda huyo kaka,hopefull mkaka akirudi watadumisha mapenzi yao na one day watakuwa Mr & Mrs.............
Mostly its men who fall in love at first site! we ladies tumeumbwa kwa ukamilifu mno,mwanamke lazima uchunguze,uringe,udeke etc,For me I would say big up for that lady coz anajua thamani yake yy ni mwanamke ambae sio cheap,yani kutongozwa siku moja tu ukubali kwani yy changu?hata changu pia lazima myumbishane japo dakika tano.
Hapo mi naona mapenzi yapo tena sana tu,binti kakaaaa kafikiri akaona kwa ukaribu sifa na vigezo alivyokuwa anavitaka kwa huyo mwanaume,akagundua kumbe na yy anampenda huyo kaka,hopefull mkaka akirudi watadumisha mapenzi yao na one day watakuwa Mr & Mrs.............
2.Hajui nini anakitaka kwa huyu kaka
3.Hivi ni kweli kuna penzi hapa au hisia ...
Nawakilisha!:A S-rose:
Kumbe nikimtongoza mwanamke akakubali ndani ya siku moja nitoke ndukii :biggrin1::biggrin1:
Mostly its men who fall in love at first site! we ladies tumeumbwa kwa ukamilifu mno,mwanamke lazima uchunguze,uringe,udeke etc,For me I would say big up for that lady coz anajua thamani yake yy ni mwanamke ambae sio cheap,yani kutongozwa siku moja tu ukubali kwani yy changu?hata changu pia lazima myumbishane japo dakika tano.
Hapo mi naona mapenzi yapo tena sana tu,binti kakaaaa kafikiri akaona kwa ukaribu sifa na vigezo alivyokuwa anavitaka kwa huyo mwanaume,akagundua kumbe na yy anampenda huyo kaka,hopefull mkaka akirudi watadumisha mapenzi yao na one day watakuwa Mr & Mrs.............
Dah hii technique imepitwa na wakati akina dada msipende kuitumia
Mi nilimkomesha mmoja hivi hivi kanizungusha miaka 3 akasema nipeleke barua na nikapeleka kwao ndipo akakubali nimege nikajiexpress mara moja tu na kuchapa mwendo na nimemfungia vioo.
Pearl nimependa sana majibu yako mamy...maana huyu mdada mie nilikuwa nikimwangalia hata simwelewi mpaka alipokuja kunielezea hili janga ..nikabaki nacheka...:A S-rose:
Kumbe nikimtongoza mwanamke akakubali ndani ya siku moja nitoke ndukii :biggrin1::biggrin1:
hamna nilichowadanganya.Huu mkao (daktari vs mgonjwa )una ushawishi sanaAcha kudangaya wenzako na kuwapeleka chaka