Napita tu..........
mhhhhh!!!!!
Ila nakupa hongera babu...maana mambo mswanu kabisa!
mkuu Asprin usiwe na hofu ni kweli kabisa mamsap wangu toka tuko uchumba alikuwa ananiambia kuwa anaipenda sana harufu yangu. mpaka leo hupenda sana kuweka pua yake maeneo ya shingo yangu anasema my scent rocks her. Pili kuna dada mmoja kazini alishawahi kunitamkia akiwa karibu na mie anaenda coz harufu yangu anaipenda, baadaye akanitumia mail kuniulizia perfum gani natumia wakati mie nilikuwa situmii perfum yoyote ile. so mkuu mshukuru mungu hapo! your wife kweli anaku miss so scent yako itamtuliza.
Hujambo rafiki? haya nambie hongera ya nini vile?
Heshima zenu waungwana.....Ilikuwa wikiendi hatari kabisa (ongeeni na TBL wafunge kiwanda kwa afya yangu LOL)
Ni hivi:
Bibi yenu amesafiri. Kilichoniacha hoi, eti ameondoka na shati langu ambalo halijafuliwa. Namuuliza kulikoni ananiambia anapokuwa mbali nami anapenda anuse shati langu ili aipate harufu yangu nafsi yake itulie. Anaipenda eti.
Hivi wanungwana, hii inaweza kuwa kweli au bibi yenu anataka kuniloga?...Kuna wengine ishawatokea hii? Eti nyie wa jinsia ya kike, huwa mnafanyaga hivyo?....Kama vipi jamani niwahi kwa Kakobe na Mama Rwakatare waniwekee kinga.
Babu anarudi kitandani kutafakari kwa kina.
Na harufu yangu.
Mh!!! Lakini pia nasikia wazoefu wanasema kuwa wengine (men) huvaa under wear za wapenzi au wake zao wanapowamiss au hulazimika kurelux home na under skirt za wake zao au wapenzi wao.
Mimi Hamis bin iJumaa......... nakukanya kwa hii name calling....
We jiandae tu kuwa zezeta muda si mrefu
Asee!!! leo hakuna kwenda masjid? Naona Said anani-beep sijui anataka nimpitie twende pale kati!!!
Name calling hairuhusiwi!!
Hahaha atakuwa ameishaenda masjid tayariAsee!!! leo hakuna kwenda masjid? Naona Said anani-beep sijui anataka nimpitie twende pale kati!!!
Name calling hairuhusiwi!!
Una kesi ya kujibu, haiwezekani nikwambie uniwekee lile gagulo lako kwenye begi na hukuweka!!haaaaaaaa ..haaaaaa jaman...ayabana.
saidi ndo lake jina
kunkataza kulitamka ni hiyana
sna budi kwalo jina kulinena bila hiyana
mzee, dawa ni kuacha kuoga tu ili wafaidi zaidi ile harufu
aisee
hahahaaa ni anapenda mkuu teheLOL,...Chimunguru bana...anaenda ndio nini bana?...dahhh!
Una kesi ya kujibu, haiwezekani nikwambie uniwekee lile gagulo lako kwenye begi na hukuweka!!
Hebu twende chemba kwanza!! kule kwa maxence wa ukwee!! unapajua? fanya fasta!
kakati ya nidhamu inakungoja!