Zito amesema anangoja adhabu. Hi maana yake nini? Soma katikati ya mistari. huyu jamaa naona anataka kuwa kumbikumbi, ataliwa na kunguru sasa hivi.
Zito alisema atagombea Urais Mwaka 2015. Anachotafuta ni sababu ya kuondoka aende NCCR ili agombee urais.