Esoteric: Uhusiano wa Zitto, JK, Salim A.S, Ridhwan, Omar Ilyas & then some Islams?

Status
Not open for further replies.
Hivi yupo wapi mtu huyu? pamoja na udhaifu wake kama binadamu lakini nilikuwa naukubali sana uwezo wake wa kujenga hoja na kulisha "spirit" kueleka kwenye lengo husika.

He is somewhere in Iringa - working with Unilever I guess
 
Zitto kwenye ili uliwakera watu wengi... Kwenye vikao vingi viwe vya kichama, harusi, kiserikali huwa kuna mijadala mizito inayopinginga... kwa sisi tunaofuata demokrasia ya wengi wape hukuwa na sababu kuongelea msimamo wako hadharini ili mradi kila mtu ajue kumbe kuna mfarakano ndani ya Chadema.

Viongozi wengi walianguka kisiasa kwa makosa madogo madogo kama yako. Husipoangalia huu unaweza ukawa mwanzo wa mwisho wako kisiasa.... Kubwa Omba radhi yaishe
 
Hapana umejibu vyema mh. si niliuliza tu? then kumbe ulijuwa kabisa Slaa atashindwa. Then ku-mkampenia Slaa sehemu nyingine inaweza kuwa lilikuwa changa la macho tu!! uliwaambia wananchi wako utatekelezaji sera za chadema ili hali wao wanataka sera za CCM, unajua nalo hili ni debatable!!

Kumbuka aliyeivusha Ghana robo fainali ndiye aliyeikosesha kuingia nusu fainali na bado waghana walitaka kumla nyama, thats what it take when you are playing with people' mind and feelings

Angalia dont play with people' minds and feelings, usiwe mmoja wao

Any move or hidden agenda that any of you might be playing will certainly be known one day
una maana kuna mtu ataliwa nyama?zitto he's playing his part ukitaka kuchuma matunda yapandie huko huko juu ya mti na sio kukimbia !
 
Waberoya, mambo ya siasa sio suala la mke na mume. Umeuliza jimboni kwangu nani alipata kura nyingi, Jakaya did. Kwamba sikumkapenia, niambie ni kiongozi gani wa chadema alitoka nje ya jimbo lake kufanya kampeni kama sio mimi peke yangu. Nani mwingine? Nilikwenda mtwara, pwani, dar, mara, shinyanga, rukwa etc. Nani mwingine alitoka nje ya jimbo lake? Unathubutu kusema sikukampeni? Pili niambie nani aliandamana na Slaa? Kaka usimeze sumu ndugu yangu. Take a glass of water and think again. Be fair to me. Usinionee

Japo nakukubali sana ila kuhusu kiongozi mwingine aliyetoka kwenye jimbo lake kwenda kufanya kampeni kwingine alikuwa Mbowe. Kwa haraka nakumbuka alikuja hapa Arusha
 
Mr. Kabwe it appears the mediocrity of the mob disables them from comprehending ur idiosyncrasies. They say you are a loose cannon, but the problem with radicals is that they themselves are like a lynch mob, it is impossible for them to understand the subtle game of politics which is at the same time brutal. I know you are familiar with "The Prince", watu wanakuona msaliti, inawezekana lakini pia inawezekana hukua nao in the way that they envisioned..
 
Zitto unasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kweli kabisa mimi nakupa haki yako kuwa wewe sio mdini kwasababu mimi sio muislamu, intellectual sio muislamu, lugemalila sio muislamu na hata marehem Mkili hakuwa muislamu lakini walikuwa watu wako wakaribu pale chuoni.usimsingizie Gervas Mkili kuwa atakutetea kwa sababu alikuwa selo na taarifa kuwa wewe na rugemalila mlikuwa wa saliti mimi ndiye niliye mwambia.Ingawa Gervas Mkili alikuwa mtu wakusamehe alisamehe na akakusaidia wewe na mwenzako rugemalila mkapata madaraka makubwa DARUSO wewe ukiwa katibu na mwenzio akiwa raisi.

Kwa hiyo flashback huja kumbuka ulivyo kuwa kigeugeu wa siasa za pale mlimani, au wewe unaona ulikuwa nauko sawa? kwanini watu wakushambulie namna hii kama upo safi? hebu jaribu kuji uliza watu waliowengi hapa ni CDM lakini wana uponda,.......kwanini huji ulizi?

Wewe ni opportunist na selfish ndivyo ulivyo zaliwa na huwezi kubadilika
 
mwambieni huyu kijana maana ametukosea heshima
kwa kulowanisha maamuzi ya chama

USIRUDIE TENA

weberoya asante sana kwa hii mada
 
Kwamba great leaders wote walikuwa not predictable kwenye mambo ya haki? I don't understand what great leaders you are trying to emulate. Hittler, mussolini and the likes; ndo viongozi waliokuwa hawatabiriki na sifa ya madikteta wengi walikuwa hawatabiriki until they got power.

Viongozi wote maarufu wanaoitwa great leaders, misimamo yao ilijulikana before they get into power, ilijulikana hata baada ya kuwa kwenye power, inajulikana hata baada ya kutoka kwenye power. Fidel castro hadi leo hayuko madarakani ameukataa ubeberu. Mandela aliukataa ubaguzi hadi leo.

Sioni kiongozi gani aliyekuwa unpredictable inapokuja masuala ya haki

Mkuu acha kudeviate facts Abraham Lincoln was unpredictable but he turn out to be a great leader, Nyerere was unpredicatable lakini leo tunamwita baba wa taifa letu (kaa na wazee waliofanya nae kazi watakuambia). Mandela unayemsema unaijua historia yake au unasema tu alianza kwa kuwa mpiganaji wa ubaguzi na ubeberu . Alipoingia madaraka katika biography yake alisema katika speech ya kwanza kuwa sisi sote ni wasouth africa bila ya kujali rangi na chama (kitu kilikuja kuwaudhi sana ANC kwani walitegemea serikali yote itajaa watu weusi) sasa alikuwa predictable....
 
Kwa kuongezea, katika jimbo la Zitto la Kigoma Kaskazini, Dr. Slaa alipata asilimia 30.7 ya kura zilizopigwa dhidi ya asilimia 63.0 za Kikwete; wakati jimbo jirani la Manyovu, ambako hiyo barabara ya lami na kwenyewe imefika, (na huo ndio mradi pekee anaohubiri Zitto), tena ambako mbunge ni wa CCM, Dr. Slaa alipata asilimia 57.8 dhidi ya asilimia 36.6 za Kikwete. Kwa hakika Zitto amempigia kampeni Kikwete. AENDE CCM HARAKA SANA
 
Aisee, siasa ya Tanzania ina-disappoint sana...tuna safari ndefu sana kabla ya kufika kwenye siasa ya watu makini, waadilifu na wenye misimamo ya kweli...wakati mwingine nawaza je safari hii ndefu tutaimaliza kwa kuwa na direction ileile au labda tuanze kurudi nyuma tu sasa ili tukutane na kina Nyerere, simba wa vita na wengineo

For a longtime I have been disappointed na CCM hii ya siku izi

This time when at least I found a reason to vote (because of Slaa), yanayofanywa na viongozi ndani ya chama chake, tena wale tuliodhani eti ndio great thinker, yanatia kinyaa na yanaondoa matumaini....

Kiongozi mwandamizi ndani ya chama, mnafikia maamuzi ndani ya chama wote kwa pamoja, mnapiga kura na kuamua, hata kama wewe ulikuwa hupendi, kama kiongozi unatakiwa kuonyesha mfano kwa kuwa mtiifu kwa maamuzi halali ya chama chako

Kwani Zitto nikuulize kitu kimoja, Kutoka nje ya bunge wakati raisi anahutubia kwa lengo la kuonyesha umma kuwa hamkuridhishwa na matokeo ya uchaguzi, ilikuwa na ugumu gani kwako? au ndio ulikuwa unaogopa raisi huyo kwa kuwa analindwa na katiba, na kwa kuwa umeshasema ameifanya Kigoma ijulikane (sijui wapi), angesitisha hiyo kasi, ari na nguvu yake ya kuleta maendeleo Kigoma?

Lini nyie wanasiasa mtakuwa na misimamo inayowaumiza nyie personally au majimbo yenu kwa muda mfupi lakini yenye maslahi kwa taifa?

we have always lived in a lie, and still....that will make this and the coming generation the most disadvantaged one

Poor politics, poor Tanzania
Mungu wala usitubariki, tuanche hivihivi
 
kaka zitto jiulize

wengi humu na chadema na wengi hatujafurahi kwa hiki kitendo chako

jiulize kwa nini unashambuliwa sana?!!!

ulianza kuniudhi pale ulipotaka kubadili jimbo la kugombea.
 
Zitto anafahamu kwamba SLaa hakushinda urais!

Na pia anafahamau kwamba Slaa anafahamu kuwa alishindwa, sasa whats the point ya kuingia na kutoka wakati Slaa anajua kwamba kabwagwa.
Kwa ninavyoelewa chadema hawakatai kuwa hawajashindwa ila kura ziliibwa. Sasa wanataka wizi huo ukomeshwe ili siku wakishida wasiibiwe tena.
 
And mambo ya udini hakuna kabisa, the true religion of all these people is POWER. Thats the one that pays off here and now. SO if dini will help usurp power from the ****** of this realm basi that is the tool that some with little moral candor will use. Hakuna kitu kama udini kwenye siasa, viongozi wa dini ndio wanaudini, na wananchi wasio na akili kujua kuwa dini nikama kitufe katika akili zao ambacho kina zima 'rationality' na kufanya mtu asifikirie kwa umakini.
 
hapakuwa na kikao cha siri.
wandugu hilo jibu linasema Zitto ni nani, hana siri,! ila mentoring anayoipata toka kwa warioba na SAS ni siri, tena kwenda kwake TBC kuongea aliyoyaongea ndo matunda ya mentoring toka kwa warioba na SAS

BRAVO !!!!!!!!!!!!!!
 
Mimi binafsi napenda sana uwezo wa huyu bwana mdogo. Lakini hizi sarakasi alizoanzisha kwenye Chama chake zinanitia wasiwasi. Hivi Zitto ungejibu maswali haya huenda imani zetu zingeendelea juu yako:

1. Una matatizo yeyote sasa na chama chako?
2. Ni kwa nini hukushiriki kikamilifu katika kampeni za urais kwa chama chako?

Kwa ushauri tu, utii na unyenyekevu ni tabia impendezayo kila mtu. Jinsi ulivyo mwerevu, ukiweka hapo unyenyekevu utakuwa kipenzi cha wengi, na ndio mtaji mkubwa sana wa kisiasa kwako.
Sitamani kuona unaleta mifarakano CHADEMA, ni chama tumainiwa sasa cha upinzani....bila upinzani mambo yataenda hovyo hovyo.

Hivi ni mgombea gani wa Ubunge awe wa CCM ama Chadema aliyeshiriki katika kampeni za chama chake kwa mapana yake kama Zitto?. Hivi sio Zitto aliyetoka hadi Mtwara, Shinyanga na mikoa mingine kuwapigia kampeni wagombea wa chama chake" Hivi Mwenyekiti wake Mbowe zaidi ya zile activity tatu zilizokuwa na LIVE COVERAGE mlimuona sehemu nyingine yeyote.....Hivi Dr Slaa amewahi kwenda jimbo lolote na kutembezwa na mgombea mbunge katika kata zote kama ilivyokuwa Kigoma Kaskazini? Hivi kuna mgombea ubunge yeyote aliyetumia muda wake kuwatafutia/kufundraise fedha za uchaguzi wagombea wenzake wa ubunge na udiwani kama alivyofanya Zitto? Hivi kuna mgombea yeyote wa CHADEMA ambaye amejitolea hata kumtengenezea posters/mabango ya kampeni mgombea mwenzake yeyote kama alivyofanya Zitto kwa wagombea zaidi ya 20 na huku kwake akiwa hana uhakika hata wa fedha za kuwalipa mawakala wake??

Acheni kumuonea Zitto ama kwa kutojua ukweli au chuki zenu binafsi.......
 
kikwete ni Rais. Uhalali wake sina mamlaka nao. Uchaguzi ulikuwa na matatizo lukuki. Sheria za uchaguzi, mfumo wa uchaguzi na kanuni lazima viangaliwe upya. Katiba ya nchi lazima ifumuliwe na kuandikwa upya. Haya ni madai halali ambayo upatikanaji wake haupatikani kwa kumkimbia Rais bali kumuengage. ODM waliibiwa. Walikwenda kumsikiza Kibaki bungeni pamoja na fujo zote. MDC walipigwa, wakafungwa na kunyanyaswa na ZANU PF, walikwenda bungeni na kumsikiliza Mugabe. Wakamzomea kweli. Laki hawakutoka. Kenya wana katiba mpya. Zimbabwe wanaandika yao. Ni suala la strategy tu!


Mh. Zitto, naomba kuuliza wewe unafikiria strategies zipi zinatakiwa kutumika. Au kwa maneno mengine, baada ya wewe ku vote against it kupinga hiyo strategy ya wengi je uliwashauri au ulipendekeza nini kwa waheshimiwa wabunge wenzako wa CDM??
 
Hizo ni chuki binafsi + wivu, Haya yote mnayojitahidi kuutangazia umma huu wa JF ni zile siasa za chuki na ambazo zimepitwa na wakati. Kama Zitto amekuzidi kwa kila kitu hutakiwi kumchafua hivyo ila kupambana na wewe uwe kama yeye.

Samahani kama nimewakosea
 
Hizo ni chuki binafsi + wivu, Haya yote mnayojitahidi kuutangazia umma huu wa JF ni zile siasa za chuki na ambazo zimepitwa na wakati. Kama Zitto amekuzidi kwa kila kitu hutakiwi kumchafua hivyo ila kupambana na wewe uwe kama yeye.

Samahani kama nimewakosea
 
Aisee, siasa ya Tanzania ina-disappoint sana...tuna safari ndefu sana kabla ya kufika kwenye siasa ya watu makini, waadilifu na wenye misimamo ya kweli...wakati mwingine nawaza je safari hii ndefu tutaimaliza kwa kuwa na direction ileile au labda tuanze kurudi nyuma tu sasa ili tukutane na kina Nyerere, simba wa vita na wengineo

For a longtime I have been disappointed na CCM hii ya siku izi

This time when at least I found a reason to vote (because of Slaa), yanayofanywa na viongozi ndani ya chama chake, tena wale tuliodhani eti ndio great thinker, yanatia kinyaa na yanaondoa matumaini....

Kiongozi mwandamizi ndani ya chama, mnafikia maamuzi ndani ya chama wote kwa pamoja, mnapiga kura na kuamua, hata kama wewe ulikuwa hupendi, kama kiongozi unatakiwa kuonyesha mfano kwa kuwa mtiifu kwa maamuzi halali ya chama chako

Kwani Zitto nikuulize kitu kimoja, Kutoka nje ya bunge wakati raisi anahutubia kwa lengo la kuonyesha umma kuwa hamkuridhishwa na matokeo ya uchaguzi, ilikuwa na ugumu gani kwako? au ndio ulikuwa unaogopa raisi huyo kwa kuwa analindwa na katiba, na kwa kuwa umeshasema ameifanya Kigoma ijulikane (sijui wapi), angesitisha hiyo kasi, ari na nguvu yake ya kuleta maendeleo Kigoma?

Lini nyie wanasiasa mtakuwa na misimamo inayowaumiza nyie personally au majimbo yenu kwa muda mfupi lakini yenye maslahi kwa taifa?

we have always lived in a lie, and still....that will make this and the coming generation the most disadvantaged one

Poor politics, poor Tanzania
Mungu wala usitubariki, tuanche hivihivi
ha ha ha ha ha ha!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom