sawa kabisa Hotuba ipo palepale Diamond Jubilee,Hapa hakuna wanahabari hili jukwaa la siasa.Pelekeni upuuzi wenu Tanzania daima.
@kenonke
Hapo hakuna wa kulaumiwa. Wa kulaumiwa ni wale wanaotunza siri za ufisadi kwenye makabati yaliyoko kwenye ofisi za umma. Ofisi hizo si za kutunzia ufisadi. Zinapaswa kutunza maslahi ya wananchi. Period.
Hii ndiyo huitwa na wahenga, Mungu akupatie nini?
Mkuu Tumaini Makene hiyo si hukumu bali ni makubaliano kati ya wahusika kwenye shauri.EMT
Asante Mkuu EMT kwa kunogesha mnakasha huu kwa kuweka hiyo nakala ya hukumu ya mahakama ambayo inafichua makubwa yasiyozungumzwa sana, kama ilivyosema hiyo press statement hapo juu.
Hapa nakukubalia Mkuu tena kulitafuta Kampuni hili huko Malaysia alitumwa Kigoda, (pia alikuwa mweka hazina wa CCM) JK akiwa naibu waziri wa Nishati na Mwandosya pale Nishati na MadiniIPTL mpaka ESCROW ni higher level of deception ni mpango uliosukwa kwa ustadi mkubwa
ukiwa mjinga majinga kama Lusinde, Kisanji au Mshama huwezi kushitukia.
Kwanza JK alitengeneza tatizo bandia la umeme kisha kwa kumshirikisha Rugemalira wakaja na suluisho wakamuuzia mzee Ruksa akakubali nchi ikaingia mikataba ya kijingajinga na unajua mikataba nchi hii ni siri ya serikali, ukatengenezwa mpango wa kukusanya hela kupitia ESCROW baada ya JK kubakiza miezi michache atoke ikulu wakaamua kugawana kilichopatikana kupitia kwa yule boya wa kihindi na kesi feki ya Ruge.
Wewe mpuuzi wacha kuandika story ndefu utter nonsense
Chadema ina potosha watu kwa kutafuta umaarufu, au sijui wanataka kumuudhi Rais asifanye kazi yake, Nchi nzima iko masikio wazi kungoja atakachofanya, ni vizuri kuweka historia wazi na kwa ukweli CHAMA CHA KWANZA kupinga ufisadi huo na kutaka wote waliopokea hizo pesa wawajibishwe, ni Katibu Mkuu Kinana ndiye wakwanza kuto wito huo, Leo CDM inatafuta kila namna ya kumchafua kinana, mumeanza na Machine za Laundry, Meno ya Tembo na sasa mnataka kumuingiza kwa nguvu kwenye escrow.
CDM mnapoteza wakati , Kinana hatapunguza mwendo kukijenga chama, na tunasikitishwa sana kwani laiti Raisi angechukua uamuzi kitambo, basi ccm ingafanya vizuri zaidi kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa.
Jee napenda kuwauliza nyie washabiki wa cdm, kama kila mtu anavyojua Bilcanes inamilikiwa na Mbowe, na pale ni pahali maarufu pa watu kubeba wanawake Malaya , makuwadi ni wafanya kazi wa pale na pia panauzwa Bangi na madawa ya kulevya na wahuni wakishirikiana na wafanyikazi na walinzi wa hapo. jee tutasema Mbowe pia anahusika????????????????. Mimi ninavyo jua mbowe ni mmliki na hafaidiki na hayo maovu.
Kinana alikuwa board member Stanbic , lakini kwa muda sasa hayumo na hawezi kujihusisha na upumbavu kama huo, he is a true nationalistic and a great leader.
ni mtoto wa kufikia wa General Marwa alimuokota kule uganda wakati wa vita ya uganda baada ya mama yake kumuacha kwake.... sio mtz ni mganda ila kwa sbb alikuja mdogo kakulia hapa ni mtz kwa sasa.....Ifahamike tu wazi kuwa aliyetajwa hapo kama Albert Marwa ameoa mtoto wa Kikwete. Kwa maneno mengine ni mkwewe wa Kikwete.
hapo kwenye nyekundu kama mwendo wewnyewe wa kujenga chama ndio huo amabao matokeo kwa ccm kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni mabovu toka kuanzishwa kwake mwa 1977 basi tunaomba aongeze spidi ili mwakani ccm ipotee kabisa hapa nchini.