lyinga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 2,496
- 1,035
Inaelekea wafadhili wanamawasiliano ya moja kwamoja na ukawa. Inamaana ukawa wataulizwa kwanza kama wameridhika na kama hawajaridhika mbinyo uendelee. Lakini raisi wetu namwamini atawanyoa wote anaweza kuwaambia siwanyoi ila kwenye baraza la wazee ananyoa kipara
Hana ubavu huo subiri tuone.