nilijua tu lazima ujipendekeze kwenye huu waya wa umeme......fisi we, utakuwa miongoni mwa wanufaika wa fedha haramuMtaongea mengi ila ukweli ni kwamba CHADEMA kinatumika na mafisadi wanaotaka kubaka rasilimali za nchi hii kwa kigezo kuwa ni wazalendo
Kama mimi ni fisi wewe ni nguruwenilijua tu lazima ujipendekeze kwenye huu waya wa umeme......fisi we, utakuwa miongoni mwa wanufaika wa fedha haramu
Hapa hakuna wanahabari hili jukwaa la siasa.Pelekeni upuuzi wenu Tanzania daima.
Hiyo miaka 40 iliyopita kulikuwa na kipi cha zaidi? JK anawanyima usingizi sanahii miaka 10 ni hasara kubwa sana kwa taifa hili,,,Mungu atunusuru
Kipenga kimelia na game inaanza. Hii ni lasi tu ya kwanza baada ya kipenga,tungoje kesho tuone Rais anampasia nani. Nawahakikishia wananchi wote wa Tanzania yetu wote. Safari hii nio vigumu sana Serikali kuvuka hapa hatra kama itachukua miaka. Inawezekana Raisi kaagiza documents zaote zinyofolewe na vieo footage zote ziteketezwe nakuchukua takriban mwezi akiwa kimya kwa madai ya uchunguzi (ulio kwisha fanywa) ili hayo yakamilike. Lakini asidhani watanzania ni wajinga hadi wafadhili kuingilia, Kuna back up copies. Shauri yako Mhh Rais, bora kuomba radhi kuliko kudhani sisi wajinga then eventually unaabika.
Mkuu, hata mie nawashangaa sana. Wanatumia nguvu nyingi kuisafisha benki ya Mkombozi huku wakitumia nguvu hiyo hiyo kuichafua Stanbic.Chadema mbona benki ya Kanisa Mkombozi Benki mnaogopa kuitaja kama moja ya benki iliyohusika kuficha fedha za walalahoi, mnaitaja tu Stanibic bank wakati hizi benki zote ni adui wa Watanzania, mnaogopa kuitaja benki yenu ya Kanisa.
Mkuu Tumaini Makene naona post yangu imefutwa sijui kwanini Alinda na EMT waliomba zile document zilizoletwa na Kurugenzi ya Habari na kufutwa
Kama mnaamini hizi document ni za UKWELI WEWE basi chukua jukumu la kuziweka PUBLIC sisi tuliowai kuzinyakuwa kabla ya kufuta tukiweka zitaFUTWA NA kupigwa BAN[/QUOTE]
Mkuu naomba nitumie document hzo hata pm!
Hapo ndipo walipokosea akina Zitto. Shauku yao ilikuwa kuwawajibisha Muhongo, Maswi na Werema kwa vile walishakula cha mtu. Maazimio ya bunge ni ya kipuuzi kuweza kutokeaMmmh, hizi siasa hizi!
Hata maswali ya kuhusu Stanbic walitakiwa wajumbe wa PAC ndiyo wayapatie majibu lakini kwa sababu nia na dhumuni lao kuu lilikuwa ni kuhakikisha Viongozi wa Wizara ya Nishati na Madini pekee ndiyo wanawajiba, waliamua kukaa kimya.
Katiba bunge, nilimsikia Tundu Lissu akiwataka wawajibike Viongozi wakuu wa Wizara ya Fedha, Gavana wa BOT na baadhi ya maofisa wa Ikulu. Kamati ya PAC ilikuwa kimya, na hata wabunge wengine pia walikuwa kimya.
Hivi mtu anapokuambia kuna watu walichukua pesa kwa kutumia magunia na mifuko ya Lambo, swali ambalo utamuuliza baadaye, ni kina nani hao?
Mtu anakuambia walitumia gari zenye namba za serikali, swali utakalo muulize linakuwa, namba zipi?
Ndiyo maana niliuliza swali katika thread hii.
Ili tamko la Chadema la kipuuzi sana utaacha vipi kuitaja Mkombozi Benki, kwenye sakata la ESCROW, wakati kwa mujibu TAKUKURU watu walikuwa wanasomba pesa kwa viroba, Chadema ni wanafiki wakubwa wapo nyuma ya Kanisa labda padre Slaa kawaonya wasiitaje Mkombozi Benki ni ya Kanisa.Mkuu, hata mie nawashangaa sana. Wanatumia nguvu nyingi kuisafisha benki ya Mkombozi huku wakitumia nguvu hiyo hiyo kuichafua Stanbic.
huh...haya dada Liza, kakojoe ulaleKama mimi ni fisi wewe ni nguruwe
Leo Tumaini Makene umefufuka. Wapi misukule yenzako akina Aweda, Molemo, Mungi, Kilewo na Mohamed Mtoi?
Nasubiri watoto walale nikukojoleehuh...haya dada Liza, kakojoe ulale
naona umekurupuka usingizini hata hvyo mzee wa kuvuruga umechelewa na tunakupuuza kama ifuatavyo,,,Hiyo miaka 40 iliyopita kulikuwa na kipi cha zaidi? JK anawanyima usingizi sana
Mkuu, hata mie nawashangaa sana. Wanatumia nguvu nyingi kuisafisha benki ya Mkombozi huku wakitumia nguvu hiyo hiyo kuichafua Stanbic.