Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,735
- 30,013
hata mimi nawashangaa hawa walumendago.Kweli wana roho ngumu nadhani wanaipenda Pia cause kila siku wanasema kibonde kibonde lakini hawaachi kumsikiliza :smow:
nilishaacha kusikiliza redio klaaaaauz! long ago. Majambazi wa kazi za wasanii eti wanawasaidia. Kisha JK kawekeza milion 50 hapo.
wizi mtupu