mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 759
Duh design unajuana na huyu kibonde au ni wewe.Ndio ila kama yeye mtangazaji anaona watu wanaona anachukulia side moja na hawajaklataa kuwa yeye asiwe ccm bali anaongelea maongezi yake yanakera. Sasa kama mtu unataka uwe na wasikilizaji basi kama ana akili anajua cha kufanya mwenyewe kama kubadilika na kuwa na wasikilizaji wengine au kufukuzwa kazi na clouds kwa kuwafukuzia wasikilizaji.HayaMa commentators wengine nao hawakatazwa kukiunga mkono CHADEMA au chama kingine chochote kile cha kisiasa.