domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,545
- 1,719
Hata mimi nashangaa watanzania
Hata the Hague hawapeleki watu kule wanapeleka issueees. I like issues!
Hata mimi nashangaa watanzania
kibonde kweli ni pumba! Lakini kuwa mbunge wa tanzania mpaka ujue kingereza katiba ndio inasema hivyo? Hawa ni baadhi ya wabunge hawafahamu kingereza.lema, komba, sugu, azzan, selasini, mbowe, lukuvi
asante kwa kusikiliza kipindi kidumu...mjengo hudumuuuuuuuunashindwa kuelewa kwamba ephrahim kibonde ana cheo gani ndani ya ccm? Kwa maana kila wanachokisema chadema yeye ndo wa kwanza redioni kukipinga sipokuwa mada za zitto. Naombeni mnijuze kwamna kibonde ana mamlaka gani ndani ya ccm au serikalini. Kwa maana kama mwandishi wa habari, tena kanjanja, kibonde angefuata maadili ya uandishi bila kuwa mshabiki. Maneno kama ya wakina kibonde ya uchochezi redioni ndiyo yaliyoleta machafuko nchini rwanda.muda mwingine kibonde anatukana watu redioni bila aibu..
Kibonde kulikoni?
Nashindwa kuelewa kwamba Ephrahim Kibonde ana cheo gani ndani ya CCM? Kwa maana kila wanachokisema CHADEMA yeye ndo wa kwanza redioni kukipinga sipokuwa mada za ZITTO. Naombeni mnijuze kwamna Kibonde ana mamlaka gani ndani ya CCM au Serikalini. Kwa maana kama mwandishi wa habari, tena kanjanja, Kibonde angefuata maadili ya uandishi bila kuwa mshabiki. Maneno kama ya wakina kibonde ya uchochezi redioni ndiyo yaliyoleta machafuko nchini Rwanda.Muda mwingine Kibonde anatukana watu redioni bila aibu..
Kibonde kulikoni?
unga hapo na yule wa mtwara mjini,murji tehehehehe,umemsahau mbunge wa korongwe proffesaaaaaa
hahahahaa mhoi jamani wana jf kwa maneno khaaaaahapa mnampondea,,lakini anapokua mc wenu kwenye hafla za kitaifa na domo lake lenye dental formula za kifaru mnamchekea.
Ningekuwa karibu yako ningekuzaba vibao viwili an ng'wenzi moja kwa kutokuelewa nilichoandika.sasa wewe unayewashangaa watanzania endelea ku discus ishu achana na kudiscus wakina Obama, Ruppert Muddock na wala usiwafuatilie watu kama akina mandela, Che Guevara wewe tafuta tu issues kama vile great depression lakini usiwazungumzie kabisa watu kwa kuwa wewe una great mind
juma ngamia???? Af kamata c mfalme alimpeleka majuu kubukua?kingereza skendo rais mwenyewe mpaka aandikiwe, pia yupo juma ngamia,vichy kamata............
sijui iramba,sijui kondoo i mean kondoajuma ngamia ni mbunge wa wapi?
Chuki binafsi za nini ndugu?
saafi sana Kibonde piga kazi kwa bidiiiiii zote, usitishwe na mtu tupo pamoja bega kwa begaNashindwa kuelewa kwamba Ephrahim Kibonde ana cheo gani ndani ya CCM? Kwa maana kila wanachokisema CHADEMA yeye ndo wa kwanza redioni kukipinga sipokuwa mada za ZITTO. Naombeni mnijuze kwamna Kibonde ana mamlaka gani ndani ya CCM au Serikalini. Kwa maana kama mwandishi wa habari, tena kanjanja, Kibonde angefuata maadili ya uandishi bila kuwa mshabiki. Maneno kama ya wakina kibonde ya uchochezi redioni ndiyo yaliyoleta machafuko nchini Rwanda.Muda mwingine Kibonde anatukana watu redioni bila aibu.. Kibonde kulikoni?
Nashindwa kuelewa kwamba Ephrahim Kibonde ana cheo gani ndani ya CCM? Kwa maana kila wanachokisema CHADEMA yeye ndo wa kwanza redioni kukipinga sipokuwa mada za ZITTO. Naombeni mnijuze kwamna Kibonde ana mamlaka gani ndani ya CCM au Serikalini. Kwa maana kama mwandishi wa habari, tena kanjanja, Kibonde angefuata maadili ya uandishi bila kuwa mshabiki. Maneno kama ya wakina kibonde ya uchochezi redioni ndiyo yaliyoleta machafuko nchini Rwanda.Muda mwingine Kibonde anatukana watu redioni bila aibu..
Kibonde kulikoni?