Lyagwa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2013
- 1,634
- 893
hii imenikumbusha mbali sana.....tulikuwa na housegirl mnoko sana....alikuwa ananisugua miguu na jiwe basi ananikwangua huyo......nilimchukia sana.......
Alitaka upendeze tangu utotoni sema tu hukulijua hilo, sasa unatakiwa umsamehe, umpende, umshukuru kwa maana anao mchango wake kwako kufika hapo ulipo na ulivyo pia.