Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,939
wangapi waliogeshwa kwa mtindo huu utotoni?mana unaambiwa fumba macho ukifumbua sabuni yake machoni utakoma!!!!!!!! !mana unasuguliwa na dodoki,jiwe au chupi yako na usipokuwa makini na balance utakoma mana unasimama na mguu mojaa uone hiki nn!!!!!