wangapi waliogeshwa kwa mtindo huu utotoni?mana unaambiwa fumba macho ukifumbua sabuni yake machoni utakoma!!!!!!!! !mana unasuguliwa na dodoki,jiwe au chupi yako na usipokuwa na balanceutakoma mana unasimama na mguummojaa uone hiki nn!!!!!
Kweli tumetoka mbali yaani sidhani kama kuna ambaye hajapitia, umenikumbusha mbali sana na siku ukipewa "golden chance" ya kuoga mwenyewe penda usipende utarudishwa tu bafuni maana hutakuwa umeoga vizuri na lazima ukaguliwe na Mama.
Hizi habari za kuoga utotoni zimewahi kuwanyima wenzenu kula wali msizifanyie mzaha!!!
wangapi waliogeshwa kwa mtindo huu utotoni?mana unaambiwa fumba macho ukifumbua sabuni yake machoni utakoma!!!!!!!! !mana unasuguliwa na dodoki,jiwe au chupi yako na usipokuwa na balanceutakoma mana unasimama na mguummojaa uone hiki nn!!!!!
sisi tulikua tunatumia gunzi mzee, mawe hatukuwahimmmh! Wewe mwezetu hujakulia mazingira ya kitanzania!
hii imenikumbusha mbali sana.....tulikuwa na housegirl mnoko sana....alikuwa ananisugua miguu na jiwe basi ananikwangua huyo......nilimchukia sana.......
mwambie mwaya.....kwanza anajishaua tu!!!!!!!!! mi nilikuwa nachukia ukimaliza kuogeshwa mfano ni usiku basi nguo uliyofunikwa wakati unatoka kuoga ndo utakayofungwa wakati unasubiri kula.....ule ubaridi wa nguo ulikuwa unaniudhi hadi nikawa nalazimisha nioshwe mchana ila ndo ukijichafua tu usiku lazima yawepo tena marudio.Heri yako uliyekulia "angani"acha wenye uzoefu wa kusuguliwa na mawe tujikumbushe
Kweli tumetoka mbali yaani sidhani kama kuna ambaye hajapitia, umenikumbusha mbali sana na siku ukipewa "golden chance" ya kuoga mwenyewe penda usipende utarudishwa tu bafuni maana hutakuwa umeoga vizuri na lazima ukaguliwe na Mama.