Mtali
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 3,458
- 2,521
Ipo kwenye namba ngapi katika list ya hizi channels za AzamUsikose game za chan za saa moja na nusu kwenye rts 1 iko kwenye other channels now ivory coast versus Morocco iko live
Ipo kwenye namba ngapi katika list ya hizi channels za AzamUsikose game za chan za saa moja na nusu kwenye rts 1 iko kwenye other channels now ivory coast versus Morocco iko live
Mkuu tafadhar sana naomba uje ata kwa PMIngizeni
12728 H 30000
11192 H 3210
12645 H 30000
Hapo pana channel 13 including all 6 channels from Muvi tv zambia (combo, muviz, muvi tv, africa unite, nyimbo na prism africa) + others frm west africa na india na Redio 5. Cha msingi add new satellite then weka hizo freq, search nd enjoy
Hapo kuna channel ina EPL, naangalia karibu mechi 5 hivi kwa week LIVE
Nipatieni namna ya kuingiza frequency hizoMkuu tafadhar sana naomba uje ata kwa PM
Kuna mpira live kati ya inter Milan na Atlanta kwenye rai Italia channel number 680 na Manchester city versus crystal Palace kwenye crtv iko kwenye other channels ndo wanakalibia kuanza
Hio NBS na Crtv hazionyeshi, ni ukiwa tu.NBS ya Uganda vipi imeacha kurusha
Mkuu iyo frequence ya 11192h 3210 nmepata Rodriguez 1 & 2 lkn hazionyesh zpo giza tu nmekosea wap hap msaada kk?Mkuu tafadhar sana naomba uje ata kwa PM
Mkuu iyo frequence ya 11192h 3210 nmepata Rodriguez 1 & 2 lkn hazionyesh zpo giza tu nmekosea wap hap msaada kk?