Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
NI kweli, Lowassa ni mtu wa vitendo. Uamuzi wake wa kuipa kazi Richmond, ndiyo huu unaotugharimu leo. Hakuna umeme. Tanesco baada ya kutumia fedha inayopata kuwekeza, inajikuta inaishia kulipa makampuni ya umeme wa dharula.
Baada ya kutumia fedha kubresha maisha ya wafanyakazi wake, inatumia fedha inayopata kulipa mawakili wa kuendesha kesi kupambana na makampuni ya kitapeli ya Lowassa na swahiba wake Rostam Aziz.
Baadala ya kutumia fedha kuboresha miundo mbinu ya umeme, Tanesco inalazimika kuingia kwenye mikataba mingine ya kinyonyaji kwa kuwa Lowassa na wenzake wameshindwa kulipatia ufumbuzi wa kudumu tatizo la umeme nchini.
Mungu atuepushe na Lowassa kurudi tena madarakani.
Baada ya kutumia fedha kubresha maisha ya wafanyakazi wake, inatumia fedha inayopata kulipa mawakili wa kuendesha kesi kupambana na makampuni ya kitapeli ya Lowassa na swahiba wake Rostam Aziz.
Baadala ya kutumia fedha kuboresha miundo mbinu ya umeme, Tanesco inalazimika kuingia kwenye mikataba mingine ya kinyonyaji kwa kuwa Lowassa na wenzake wameshindwa kulipatia ufumbuzi wa kudumu tatizo la umeme nchini.
Mungu atuepushe na Lowassa kurudi tena madarakani.