Kura za maoni AruMeru Mashariki zinarudiwa kwa sababu gani? Wanahangaika kumuengua mgombea wa Lowasa, Sioi. Asikudanganye mtu, nguvu ya Lowasa bado ipo sana tu katika kila kikao, taasisi zinazoongozwa na CCM ukiwemo Urais wa nchi hii.hivi wabongo bado hamuamini tu kwamba nguvu za lowassa zimekwisha sasa kama za samson wa delila..bado mnadhani ni yule lowassa wa zamani.Sasa hivi lowassa ni sawasawa na nyoka wa kibisa,anatisha tu kwa kuwa ni nyoka jina lakini hana madhara tena
Askofu anayezungumziwa kukamatwa si wa kanisani ni askofu mfanya biashara wa mawe kwa hiyo askofu ni jina tu,hata Mathias ni mfanyabiashara wa mawe pia.
Lowasa not equal to Lowassa.Nini??
Yani we mwenyewe unajichanganya mtu mwenye nguvu mgombea wake anaenguliwaje tena..!angekua lowassa yule tunaemjua huyo mgombea wake kuna mtu angethubutu hata kufikiria kumjadili tu?!we mnajua lowassa au unatania kamuulize mzee philip mangula akueleze alichomfanya ili mgombea "wake" kwenye uenyekiti wa ccm mkoa wa iringa JAH PIPO apitishwe,mangula na jah pipo ni kifo na usingizi,lakini kwa kuwa jah pipo alikua mtu wa lowassa yule wa zamani "alimshinda" mangulaKura za maoni AruMeru Mashariki zinarudiwa kwa sababu gani? Wanahangaika kumuengua mgombea wa Lowasa, Sioi. Asikudanganye mtu, nguvu ya Lowasa bado ipo sana tu katika kila kikao, taasisi zinazoongozwa na CCM ukiwemo Urais wa nchi hii.
Right on man!!!Mimi naona hii ni thread ya promo tu kwa maggamba... ili badae ionekani aliyebaki ni msafi!!!
ukiona wezi wanaliana timing, funga milango, weka makufuli kaa macho na panga, wakipatana utakoma!!!
Nape ana nguvu wapi? Kila wanachoongea kwenye sekretariet yao muda huohuo Lowasa anaarifiwa, RA anaipata kesho yake gazeti la MTANZANIA linaandika. Hali ni mbaya zaidi kwenye CC ya CCM na vikao vya juu zaidi. Mwambieni JMK atazame upya uteuzi wake wa baadhi ya watu kama January Makamba na Mwigulu.
Sioi hajaenguliwa na hataenguliwa. CCM wanajua gharama za kumuengua mgombea wa MunguMtu wao Lowasa! Unalinganisha zama zile na za sasa? Mazingira ya sasa ni tofauti. Yanataka mbinu na "approach" tofauti. Wakati ule wa Mangula na JAH PEOPLE Lowasa alikuwemo kwenye vikao hivi vya juu kabisa. Sasa hivi anahudhuria kwa "remote".Yani we mwenyewe unajichanganya mtu mwenye nguvu mgombea wake anaenguliwaje tena..!angekua lowassa yule tunaemjua huyo mgombea wake kuna mtu angethubutu hata kufikiria kumjadili tu?!we mnajua lowassa au unatania kamuulize mzee philip mangula akueleze alichomfanya ili mgombea "wake" kwenye uenyekiti wa ccm mkoa wa iringa JAH PIPO apitishwe,mangula na jah pipo ni kifo na usingizi,lakini kwa kuwa jah pipo alikua mtu wa lowassa yule wa zamani "alimshinda" mangula
kwa hiyo kwa mtazamo wako wewe ukihudhuria kwa remote ndio unakua na nguvu nyingi zaidi kuliko ukiwa mmoja wa wajumbe wanaoshiriki kufanya maamuzi sio?hapo ndio unapozidi auchanganya mambo mzee,leo naona ungepumzika tu hauko sawa kabisa aise sijui ulilala wapi usiku wa kuamkia leoSioi hajaenguliwa na hataenguliwa. CCM wanajua gharama za kumuengua mgombea wa MunguMtu wao Lowasa! Unalinganisha zama zile na za sasa? Mazingira ya sasa ni tofauti. Yanataka mbinu na "approach" tofauti. Wakati ule wa Mangula na JAH PEOPLE Lowasa alikuwemo kwenye vikao hivi vya juu kabisa. Sasa hivi anahudhuria kwa "remote".
hii nchi utasema ni kaole sanaa group...sasa....
Nashukuru kwa kuifafanua vizuri hoja yangu mwalimu KK. Sekretariet ina watu wachache zaidi kuliko CC. Nadhani kwa muundo wa sasa hawafiki 10. Iweje mazungumzo yavuje kirahisi hivo na wasimjue msaliti wao! KK, kwa nini kura za maoni CCM zinarudiwa? Ni kweli Mwigulu simfahamu. Ni mtu mpya sana ndani ya CCM na sio kada.hata hapa jf kikiongelewa mpaka ndani ya cc acha sekretariet tunakipata mapema sana mzee ina maana na sisi tuna nguvu ndani ya ccm?kumbuka huu ni ulimwengu wa sayansi na teknolojia hakuna siri kama north korea hapa,watu wanaingia kwenye hivyo vikao na ccm kwa taarifa yako na watu media kwa mfano huwa wanasikilizishwa kikao chote live kupitia simu za mikononi hizi mabzo wajumbe wa vikao wanapiga kwa mtu wanaetaka kumsikilizisha kikao then wanaiacha on mwanzo mwisho hiyo ni kawaida sana,lakini tunachozungumza ni kwamba lowasa au rostam zamani walikua na uwezo wa kupata taarifa mapema lakini walikua na uwezo wa kudhiti kila ambacho hawakitaki kwenye taarifa hizo,uwezo huo wano tena leo???Haya mabadiliko ya katiba ya ccm mbona taarifa zake walizipata mapema na hawakuyapenda haya mabadiliko kwa kuwa yanawaumiza zaidi wao lakini mbona nec ambako huwa mnadai lowassa ana nguvu yamepita licha ya kingunge na peter serukamba kupigana kiume kwa ajili ya mwanaume wenu wa shoka lakini haikufaa kitu?badala yake alilolitaka nape na wenzake kwenye sekretariet ndio limekua?
Na kuhusu mwigulu naona tu humfahamu ndio mana.
Takukuru Leo wameamua kumgeuka Edward Lowasa na vibaraka wake katika marudiano ya uchaguzi wa Arumeru. Katika sakata Hilo katibu wa uvccm wilaya ya Monduli ndugu Ezekiel Mollel ametupwa rumande Mara baada ya kukamatwa na simu yake ilipo pekuliwa na kukutwa na mesej alizokuwa Akiwasiliana na Lowasa kuhusu kuchukua hela kwa askofu na mathius manga kwa Lengo la kwenda kuwahonga wajumbe wa arumeru Mashariki.
Katibu huyo amekiri kupewa maelekezo hayo na Lowasa na kuomba asamehewe kwa kuwa Lowasa ni kiongozi mkubwa yeye asingeweza Kuwa na ujasiri wa kumkatalia. Hadi wakati huu Ezekiel Mollel na Askofu wapo rumande.
Pia katika tukio lingine Fred Lowasa amethibitika kumhonga ticket ya ndege Elirehema kaaya ili amsaidie Sioi aweze kushinda. Kwenye simu ya elirehema Kaaya zimekutwa mesej Kuwa nakulipia ndege pamoja na kukupa lile fungu la kuwapelekea wajumbe. Kwa ushahidi huu hadi sasa elirehema Kaaya yupo rumande.
Wakati wowote mambo haya yatapelekea wahusika kupelekwa mahakamani.
Wana Arumeru mashariki wafanye uchaguzi kwa amani na utulivu na tena wasiwe na hofu yoyote.
Tena ni enzi zile za akina Joti & Mpoki + Kamanda Godfrey Kinyau.........