mossad007
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,165
- 850
Kumwembe is so smart hiyo mechi ya Arsenal na Barca sio yeye tu ata akina Robert Manara wa S.Sport waliiponda Arsenal kiujumla walielemewa na nimeshamskia eddo mara kadhaa akiiponda Midfield ya United kwamba hakuna kitu, anamsifiaga sana Jack Wilshere wa Arsenal ameshamponda sana Kocha aliyetimuliwa wa Liverpool Roy Hodgson na Kenny Daglish sasa hilo ndo soka jamaa hakupaki mafuta anakupa ukweli though tunajua UKWELI UNAUMA ila kwa wachambuzi smart Dr. Liki Abdallah na Eddo Kumwembe ndo wenyewe!