Kocha wa Arseal ndo gamba lililoota mizizi, acha hasira ingawa ukweli unauma.
SHAFII DAUDA is a smart analyst. Anapochambua uwa anajaribu kuipa shavu kila timu kulingana ma kile inachostahili. Ni vigumu hata kujua shafii anashabikia timu gani kwa kuwa uchambuzi wake unakuwa umebalance. Ni tofauti na eddo kumwembe ambaye kila mtu anafahamu ni mnazi wa man united. Nilimdharau eddo kumwembe tangu mwaka 2007 pale ambapo man u walicheza na arsenal emirate na kutoka mbili kwa mbili huku gallas akichomoa goli dakika ya 93. Eddo alipokuwa ana comment aliwasifu sana man u na kuwaponda arsenal huku akisema arsenal imeokolewa na bahati tu lakini walistahili kufungwa. Nakumbuka kuna mtu alimpinga palepale studio anamwambia afute kauli yake kwa kuwa arsenal ilifunga goli halali katika dakika za mchezo hivyo hakuna bahati yoyote hapo. Eddo alifuta kauli japo kwa shingo upanda. Eddo hana tofauti na kelvin motto wa ATN. .