Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
Nilikuwa nikimuheshimu sana bwana EDO KUMWEMBE ambaye ni mchambuzi wa soka lakini siku za karibuni ameanza kutoa uchambuzi wake wa kinafiki, especialy pale anaipoichambua Arsenal.
Hakuna siku ameiopengeza Arsenal zaidi ya kuiponda, mfano baada ya mechi ya Arsenal na Barcelona, Edo alichambua jinsi ambavyo Arsenal haikupiga shuti golini hata moja, aliisifia sana Barca, alichambua mchezaji mmoja mmoja, dakika walizocheza, pasi walizotoa kimsingi alitaka kuinyesha Arsenal ni kwa kiasi gani ilivyo mbovu.
Zikafuatia mechi za MADRID NA TOTENTHAM, BARCELONA NA SHAKTAR, MAN UTD NA CHELSEA hapa kote sikuona comparison iliyofanyika kama kwa Arsenal na Barcelona? Kwa nini na huku hakufanya comparison kama hizo?
Kwa nini analeta mapenzi binafsi katika kazi,juzi tena akatoa BONGE LA MAKALA HALF A PAGE katika mwanaspoti eti ILI ARSENAL IFANIKIWE INAHITAJI WACHEZAJI FULANI,akawataja!! tangu lini Edo amekuwa kocha? kaka acha ushabiki binafsi la sivyo unajipotezea wasomaji.
Hakuna siku ameiopengeza Arsenal zaidi ya kuiponda, mfano baada ya mechi ya Arsenal na Barcelona, Edo alichambua jinsi ambavyo Arsenal haikupiga shuti golini hata moja, aliisifia sana Barca, alichambua mchezaji mmoja mmoja, dakika walizocheza, pasi walizotoa kimsingi alitaka kuinyesha Arsenal ni kwa kiasi gani ilivyo mbovu.
Zikafuatia mechi za MADRID NA TOTENTHAM, BARCELONA NA SHAKTAR, MAN UTD NA CHELSEA hapa kote sikuona comparison iliyofanyika kama kwa Arsenal na Barcelona? Kwa nini na huku hakufanya comparison kama hizo?
Kwa nini analeta mapenzi binafsi katika kazi,juzi tena akatoa BONGE LA MAKALA HALF A PAGE katika mwanaspoti eti ILI ARSENAL IFANIKIWE INAHITAJI WACHEZAJI FULANI,akawataja!! tangu lini Edo amekuwa kocha? kaka acha ushabiki binafsi la sivyo unajipotezea wasomaji.