only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
...Zikiwa zimebaki siku mbili kuanza kwa mashindano ya kombe la Afrika,masikio na akili za watanzania zimetegemee kusikia uchambuzi wa kijinga na kinazi toka kwa hawa wachambuzi wa kitanzania ndugu Edo Kumwembe na Shaffiii Dauda...Jamaa wana uchambuzi wa kinazi,usije ukashangaa wanatabiri ubingwa kwa zile timu zenye wachezaji wa timu zao wanazoshangilia kule Ulaya...Niliwai kumsikia Edo akisema kuwa wao uchambuzi wao ni mpana,wanasikiliza kauli za makocha wa ulaya na kuzitolea ufafanuzi na sio kuzitangaza kama zilivyo,hap alikuwa anaongelea kile kipindi chao cha Sport Extra....
....Ki ukweli jamaa wako very shallow na si wachambuzi bali ni washabiki wa mpira wa miguu na ndio maana nasema tegemeeni uchambuzi wa kijinga na kitoto toka kwa Edo Kumwembe na Shaffii Dauda very soon.
....Ki ukweli jamaa wako very shallow na si wachambuzi bali ni washabiki wa mpira wa miguu na ndio maana nasema tegemeeni uchambuzi wa kijinga na kitoto toka kwa Edo Kumwembe na Shaffii Dauda very soon.