Mashindano ya afrika hayo...tegemea uchambuzi wa kijinga toka kwa edo kumwembe na shaffii dauda.....

only83

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
5,343
2,525
...Zikiwa zimebaki siku mbili kuanza kwa mashindano ya kombe la Afrika,masikio na akili za watanzania zimetegemee kusikia uchambuzi wa kijinga na kinazi toka kwa hawa wachambuzi wa kitanzania ndugu Edo Kumwembe na Shaffiii Dauda...Jamaa wana uchambuzi wa kinazi,usije ukashangaa wanatabiri ubingwa kwa zile timu zenye wachezaji wa timu zao wanazoshangilia kule Ulaya...Niliwai kumsikia Edo akisema kuwa wao uchambuzi wao ni mpana,wanasikiliza kauli za makocha wa ulaya na kuzitolea ufafanuzi na sio kuzitangaza kama zilivyo,hap alikuwa anaongelea kile kipindi chao cha Sport Extra....

....Ki ukweli jamaa wako very shallow na si wachambuzi bali ni washabiki wa mpira wa miguu na ndio maana nasema tegemeeni uchambuzi wa kijinga na kitoto toka kwa Edo Kumwembe na Shaffii Dauda very soon.
 
duh kwa hiyo bora hata dr leakey nini kuliko kina shaffih ngoja tuone..
 
...Zikiwa zimebaki siku mbili kuanza kwa mashindano ya kombe la Afrika,masikio na akili za watanzania zimetegemee kusikia uchambuzi wa kijinga na kinazi toka kwa hawa wachambuzi wa kitanzania ndugu Edo Kumwembe na Shaffiii Dauda...Jamaa wana uchambuzi wa kinazi,usije ukashangaa wanatabiri ubingwa kwa zile timu zenye wachezaji wa timu zao wanazoshangilia kule Ulaya...Niliwai kumsikia Edo akisema kuwa wao uchambuzi wao ni mpana,wanasikiliza kauli za makocha wa ulaya na kuzitolea ufafanuzi na sio kuzitangaza kama zilivyo,hap alikuwa anaongelea kile kipindi chao cha Sport Extra....

....Ki ukweli jamaa wako very shallow na si wachambuzi bali ni washabiki wa mpira wa miguu na ndio maana nasema tegemeeni uchambuzi wa kijinga na kitoto toka kwa Edo Kumwembe na Shaffii Dauda very soon.

Mmmh...., hata kama namchukia mtu, siwezi kumsema vibaya hivi bali ningemshauri ajirekebishe kwenye maeneo yenye mapungufu.
 
Kama kawaida yetu, vipi wenzangu mshachagua timu (Nchi) za kuzishabikia/kuzishangilia? Mimi nitakuwa nawashabikia/nawashangilia Senegal. Pale kuna wachezaji wawili wa timu ninayoishabikia England (Newcastle United): Demba Ba (wapenzi wa Man U wanamtambua huyu) na pia yupo Demba Cisse (huyu msiomfahamu, mtaziona cheche zake hapo AFCON na baadaye kwenye EPL).
Kila la Heri!
 
Je hao akina edo watakuwa wanachambua recorded match! (au watakodiwa na dstv) maana sujaona kama kuna local channel itakayoonyesha live.
 
Kama kawaida yetu, vipi wenzangu mshachagua timu (Nchi) za kuzishabikia/kuzishangilia? Mimi nitakuwa nawashabikia/nawashangilia Senegal. Pale kuna wachezaji wawili wa timu ninayoishabikia England (Newcastle United): Demba Ba (wapenzi wa Man U wanamtambua huyu) na pia yupo Demba Cisse (huyu msiomfahamu, mtaziona cheche zake hapo AFCON na baadaye kwenye EPL).
Kila la Heri!
Pole mkuu, ila bado mna mechi za kujirekebisha.. Chipolopolo hoyeeeeeeeeee!!!
 
Mtoa mada nakuomba utoe hapa jukwaani uchambuzi makini kuhusu mechi hizo, maana wewe inaonekana hauna uchambuzi wa kijinga na kitoto. Kweli miafrika ndio tulivyo, wewe baada ya kuona uchambuzi wao haufai ulichukua hatua gani?
Je, uliwapa japo hata ushauri.?
 
Mtoa mada nakuomba utoe hapa jukwaani uchambuzi makini kuhusu mechi hizo, maana wewe inaonekana hauna uchambuzi wa kijinga na kitoto. Kweli miafrika ndio tulivyo, wewe baada ya kuona uchambuzi wao haufai ulichukua hatua gani?
Je, uliwapa japo hata ushauri.?

Na akishakumaliza kuchukua hatua na kuwapa ushauri hao anaosema 'wanazi' badala ya kuwa wachambuzi, tunamtaka atuanzishie Thread(uzi) hapa JF ya uchambuzi makini wa mashidano hayo yanayoendelea ya kombe la Afrika
 
Umekurupuka kusema Edo kumwembe na Shaffih Dauda wana uchambuzi wa kijinga,na inaelekea wewe mpira huufahamu umeanza ushabiki ukubwani suala la kuuchambua mpira halina maana kwamba ndivyo itakavyokuwa kwa asilimia 100, nenda kwenye website ya BBC Sport utajifunza mambo mengi wanachambua na bado wanakosena sana tu ila ni uchambuzi kwa jinsi wanavyoona wao kwa kipindi hicho kwa hiyo uchambuzi unaegemea kwenye vigezo fulani vya mchambuzi haina maana kwamba wako pale kukuambia leo huyu lazima afungwe hapana.Acha kukurupuka kulaumu watu wakati thana nzima ya uchambuzi inaelekea huifahamu. Wabongo mnajua kukosoa tu, nenda kauchambue wewe tukuoneukifikiri ni kazi rahisi.Watu wengine bwana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom