Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,351
Yap nami namkumbuka sana huyu mwandishi pamoja na akina Sam Kitogo, S.M.Bawji, faraj Katalambula, Agolo Andulu. kwani na hammie rajab yu wapi?
Baadhi ya vitabu nilivyosoma vya waandishi hawa ni hivi
>Roho mkononi
>Awe hai au amekufa namtaka
>Nimekoma ukuwadi na shogayo hasidi
>Njama, Kikomo, Kikosi cha kisasi & kufa na kupona
>Simu ya Kifo
>Joto la fedha
ha ha ha ilikuwa raha kwakweli wakati ule.
paullih uko juu sana vitabu vya agoro anduru vilikuwa balaa, hammie rajab na huyu kajubi d mukajanga na yeye alikuwa balaa mwisho kuna mtu anaitwa Emmanuel Makaidi alikuwa na kitabu chake kinaitwa baada ya kisa mkasa yaaani ukikisoma unaweza patwa na hasira ya ajabu jinsi jamaa alvyokuwa akifikia kufanikiwa tu mkasa unatokea dah umenikumbusha mbaliiii mnoooo