DvD ya matukio ya kisiasa Arusha ipo mtaani

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,725
Wakuu,
Leo nimefanikiwa kutazama kwa kifupi DVD ya matukio ya kisiasa na Mauaji ya Arusha, ikiwa imeandaliwa katika mfumo wa Documentary..

Sijafanikiwa kuwajua walioandaa, lakini ni kwamba ilikuwa inagombaniwa sana na wanunuzi, mimi nimekosa nakala, nikalazimika kuazima kwa jamaa yangu ili niitazame kidogo...Inaleta hisia za aina yake.

DVD hiyo inakwenda kwa jina UKIUKWAJI WA DEMOKRASIA, na imenakshiwa kwa bendera ya Taifa kwa juu, na inatembea kwa muda wa dakika 32.

Sina uhakika kama ndiyo iliyoandaliwa na cdm, au ni wajasiriamali wa mitaani. Tulijaribu kuifanyia utundu tuiweke hapa, lakini imedhibitiwa, haikubali kukopiwa.

DVD ndiyo hii


na hii
 
Last edited by a moderator:
Ukiitazama hakika utaona jinsi mapolisi wasivyoelewa uwepo wa chama zaid ya ccm!...Wamepofuka macho kabisa hawajui kuwa kuna kesho.

Hapa Arusha kuna polisi aliuwawa 2 weeks ago, na baadhi ya watu wana'associate mauaji ya polisi huyo na matendo ya 5/1/2010...Inasemekana watu walii'note sura yake jinsi alivyokuwa anatoa kipigo kwa raia wakati wa maandamano.
 
Hofu yangu ni 'silent' censorship...inaweza kuwa cencored kimya kimya sana wakuu kabla haijasambaa, walioitengeneza na kuisambaza sijui wamejipangaje kuhakikisha wanakwepa hilo...

Mnakumbuka mwishoni mwa mwaka jana RAI waliandika stori fulani kuhusu namna Spika Sitta alivyokuwa karibu ahame CCM kwenda CHADEMA, lakini alipomfuata Rais Dkt. Slaa akamshauri haukuwa wakati mwafaka na isingesaidia pande zote, iwe kwake yeye hata CHADEMA...copies kibao sana zililinunuliwa mapeeeeeeeeema na 'wazee wa kazi wa mavazi meusi na miwani' ili zisisambae, KISA! Ilikuwa inampatia ujiko mkubwa Rais Dkt. Slaa na kuongeza ushawishi wa maamuzi yake ya busara mbele ya jamii.

DvD hiyo bila shaka yoyote itakuwa kwa namna moja inaongeza ushawishi wa CDM na Rais Slaa kwa kiasi kikubwa, KAMA NAYO HAIJACHAKACHULIWA LKN, 4 ANY SELF INTEREST...just angalizo tu, maana...
 
Wakuu,
Leo nimefanikiwa kutazama kwa kifupi DVD ya matukio ya kisiasa na Mauaji ya Arusha, ikiwa imeandaliwa katika mfumo wa Documentary..

Sijafanikiwa kuwajua walioandaa, lakini ni kwamba ilikuwa inagombaniwa sana na wanunuzi, mimi nimekosa nakala, nikalazimika kuazima kwa jamaa yangu ili niitazame kidogo...Inaleta hisia za aina yake.

DVD hiyo inakwenda kwa jina UKIUKWAJI WA DEMOKRASIA, na imenakshiwa kwa bendera ya Taifa kwa juu, na inatembea kwa muda wa dakika 32.

Sina uhakika kama ndiyo iliyoandaliwa na cdm, au ni wajasiriamali wa mitaani. Tulijaribu kuifanyia utundu tuiweke hapa, lakini imedhibitiwa, haikubali kukopiwa.

Wapo wataalamu wa ICT humu jamvini nadhani watusaidie kukopi ili iwekwe humu na Youtube
 
Inauzwa tshs 6000/- tu...
Ni ya ukweli mkuu!

Ama kweli kufa kufaana! kama ni ukiukwaji wa demokrasia si ingetolewa bure?? sh. 6000/= ndugu wa marehemu wametoa kibali cha kutumia vifo vya ndugu zao au watapata mgao? If you ask me huyo aliyetengeneza hizo CD ni wa kufunga. Kumbe kuna agenda ya kibiashara katika hizi vurugu? That is what they call blood money !!!!!!!!!!!!! hazitamsaidia muuzaji Shame on you all. I hope uongozi wa CDM hauhusiki na hii biashara haramu!!!
 
Wapo wataalamu wa ICT humu jamvini nadhani watusaidie kukopi ili iwekwe humu na Youtube

wewe lazima sio mchaga, yaani unataka chama cha nyumbani kichakachuliwe mapato yake? tutaziuza hadi kopi ya mwisho mangi kama huna hela subiri kwanza turudishe pesa etu.
 
Unapenda sana bure..... EURO 3 zinakupa sana shida? Watu wametumia umeme, computer zao na camera kibao, muda wao na kutengeneza film na mwisho kuwa na ma-cover na picha ya cover juu. Bado wewe unaona ni hela nyingi na unataka WAKUPE BURE?

Mkono mtupu haulambwi mkuu. Watu tunanunua CD original kwa Euro 15 au dola 20 kwa kuagiza kutoka nje na hapo weka na usafiri. Tujifunze kusaidia (ukiangalia bei) na si kufikiri jamaa watakuwa matajiri kwa hiyo bei.

Hiyo bei ni bei ya kurudisha hela zao na si blood money. Wakiuza 100 wanapata laki 6 na kumbuka kuwa USALAMA WA TAIFA watakuwa nao sambamba na hivyo huwezi kuwa nazo nyingi. Na mwisho ni kwamba, hiyo ni bei ya kuuzia (muuzaji apate kifaida). Je watengenezaji kweli watatajirika kwa pesa hiyo kidogo inayopatikana? Tusiwe wepesi wa kushambulia kuwa fulani katajirika. Ungelikuwa wewe si ajabu ungelituuzia kwa bei ya 15,000.
Ama kweli kufa kufaana! kama ni ukiukwaji wa demokrasia si ingetolewa bure?? sh. 6000/= ndugu wa marehemu wametoa kibali cha kutumia vifo vya ndugu zao au watapata mgao? If you ask me huyo aliyetengeneza hizo CD ni wa kufunga. Kumbe kuna agenda ya kibiashara katika hizi vurugu? That is what they call blood money !!!!!!!!!!!!! hazitamsaidia muuzaji Shame on you all. I hope uongozi wa CDM hauhusiki na hii biashara haramu!!!
 
hawawezi kuizuia au wameshachelewa; kuna rafiki yangu yuko karagwe, about three days ago aliiona maeneo ya sokoni kayanga, laki aliyekuwa nayo ni mwoga. niliahidi nikiipata natengeneza 20 copies free na kuzisambaza.
 
Inauzwa tshs 6000/- tu...
Ni ya ukweli mkuu!
Ukweli unabaki palepale kwamba ni vigumu mno kukidanganya kizazi hiki cha .com Ukweli huu ndiyo unafafanua kwa nini CCM iliyobweteka kwa miango kadhaa bila ya kufanya mabadiliko ina wakati mgumu sasa kuliko wakati wowote tangu iasisiwe. Mimi sijaiona (Lakini nitaitafuta) ila naona uongo wa Saidi Mwema, Chagonja na Pinda unakaribia mwisho wake. Hongereni kizazi kipya!!!! Tanzania itakombolewa na ninyi.
 
Ama kweli kufa kufaana! kama ni ukiukwaji wa demokrasia si ingetolewa bure?? sh. 6000/= ndugu wa marehemu wametoa kibali cha kutumia vifo vya ndugu zao au watapata mgao? If you ask me huyo aliyetengeneza hizo CD ni wa kufunga. Kumbe kuna agenda ya kibiashara katika hizi vurugu? That is what they call blood money !!!!!!!!!!!!! hazitamsaidia muuzaji Shame on you all. I hope uongozi wa CDM hauhusiki na hii biashara haramu!!!

Kwa mtindo huo mbona ungefunga wote na wewe ukiwemo?
 
Ama kweli kufa kufaana! kama ni ukiukwaji wa demokrasia si ingetolewa bure?? sh. 6000/= ndugu wa marehemu wametoa kibali cha kutumia vifo vya ndugu zao au watapata mgao? If you ask me huyo aliyetengeneza hizo CD ni wa kufunga. Kumbe kuna agenda ya kibiashara katika hizi vurugu? That is what they call blood money !!!!!!!!!!!!! hazitamsaidia muuzaji Shame on you all. I hope uongozi wa CDM hauhusiki na hii biashara haramu!!!
Acha unafiki. Na kina Mwema na Chagonja walipotoa ya kuwadhalilisha waliojeruhiwa na kuuwawa tuwashtaki wapi? Tena yao ilikuwa ya kupotosha kwelikweli. Sisi tinaitaka ili tupime ukweli uko wapi na nina uhakika wananchi wakiona jinsi mlivyopotosha hawatawaamini tena nyinyi na huyo mdudu wenu mnayemwita CCM.
 
Ama kweli kufa kufaana! kama ni ukiukwaji wa demokrasia si ingetolewa bure?? sh. 6000/= ndugu wa marehemu wametoa kibali cha kutumia vifo vya ndugu zao au watapata mgao? If you ask me huyo aliyetengeneza hizo CD ni wa kufunga. Kumbe kuna agenda ya kibiashara katika hizi vurugu? That is what they call blood money !!!!!!!!!!!!! hazitamsaidia muuzaji Shame on you all. I hope uongozi wa CDM hauhusiki na hii biashara haramu!!!

mkuu hilo umelijua leo kwani? Ebu ona hii katuni,iko gazti la mtanzania la leo.Hilo halikwepeki mkuu,lazima watu wafaidike pale wenzao wanapoumia.
moz-screenshot.png

moz-screenshot-1.png
kufa kufaana.jpg
 
Back
Top Bottom