Kaka Mpendwa
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 772
- 415
kijana acha kutafuta shortcut kwenye maisha..
Ushauri uliopewa na wadau ni mzuri kabisa..Na kama ni kweli unataka SHORTCUT ni bora ukasoma Nursing...(ajira nje nje)..
Ila kama unataka kusoma vitu vya maana na hiyo DIV IV, ni vyema uka-resit..(hii itakusaidia miaka ijayo)..wewe bado ni mdogo, unamuda wa kutosha kujipanga tena na kurudia mitihani..Hakuna mwajiri ambaye anachukua mtu hovyo hovyo..(vinginevyo akupate ajira za wahindi, na mishahara yao ya mawazo)
ALL the best..
Ushauri uliopewa na wadau ni mzuri kabisa..Na kama ni kweli unataka SHORTCUT ni bora ukasoma Nursing...(ajira nje nje)..
Ila kama unataka kusoma vitu vya maana na hiyo DIV IV, ni vyema uka-resit..(hii itakusaidia miaka ijayo)..wewe bado ni mdogo, unamuda wa kutosha kujipanga tena na kurudia mitihani..Hakuna mwajiri ambaye anachukua mtu hovyo hovyo..(vinginevyo akupate ajira za wahindi, na mishahara yao ya mawazo)
ALL the best..