Duu, kumbe Dar es Salaam kuna shule inaitwa YUSUFU MAKAMBA PRIMARY SCHOOL!!!

baadaye itabadilishw jina. hata barabara ya TITI kuna wakati iliitwa UWT alipofungwa kwa uhaini. Alipofunguliwa na "kusamehewa" jina la zamani likarudi la BARABARA YA TITI MOHAMEDI. Inchi yetu hii, lolote lawezekana.

macinkus
 
Kwa sisi wa imani, jina lina nguvu za ajabu sana. Ilipata kuandikwa "Heri kurithi jina jema kuliko mali mengi". Kama hujui, jina lina nafasi muhimu sana katika maisha na mafanikio ya kitu chochote - shule, nk.
 
Mbona kuna shule inaitwa nyerere lakini yeye alivyo bogus? na watoto wanapeta

Mzee wa kuhongwa sahani ya pilau huishi kumsema Nyerere. Pamoja na roho yako inayonuka kama kinyesi cha mlevi wa mataputapu, NYERERE ANAFAHAMIKA RASMI KAMA BABA WA TAIFA. Wewe shekhe endelea na wivu wako huku ukinywa kahawa na kashata.
 
Kwa namna ya utafutaji wa majina kwa wabongo, sio mbali sana utaiona shulea au chuo THE DOWANS PRIMARY SCHOOL au DOWANS SECONDARY SCHOOL AU DOWANS INTERNATIONAL SCIENCE HIGH SCHOOL, au DOWANS COLLEGE, au RICHMOND UNIVERSITY OF TANZANIA, .......... NA KADHALIKA. Ati ndiyo majina maarufu.
 
Back
Top Bottom