Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wazee,
Hilo jina la shule bado lina thamani au mantiki yoyote???
Hilo jina la shule bado lina thamani au mantiki yoyote???
Inategemea ni nani anapima thaman hyo.
Wazee,
Hilo jina la shule bado lina thamani au mantiki yoyote???
Inategemea ni nani anapima thaman hyo.
Mbona kuna shule inaitwa nyerere lakini yeye alivyo bogus? na watoto wanapeta
itakuja chenge, rostam na msije kushangaa kukawa na dowans sekondari
Hivi shule ya Slaa itakuwepo? ntastaajabu issue ya maadili?