Wazee,
Hilo jina la shule bado lina thamani au mantiki yoyote???
Ujinga mtupu...kitu gani kimempa hii hadhi? Makamba amefanikiwa kuikomboa Tanzania kwenye Uchumi? au kumwezesha JK kuiba kura.
Wazee,
Hilo jina la shule bado lina thamani au mantiki yoyote???
Wanapeta kwa kuwa Nyerere ni mtu makini. Lakini hiyo ya Makamba..., duuh!Mbona kuna shule inaitwa nyerere lakini yeye alivyo bogus? na watoto wanapeta
unashangaa shule wakati chuo kikuu cha dodoma kinaitwa jakaya kikwete university;hizo ni shule za mijinga na zinatoa mambumbumbu