BONNIE GOLD
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 333
- 616
Huyu Naye, in ground wanakula 250,000 tsh per month,na siku zinaenda.Hela ndogo sana hiyo mkuu .... Dukani lazima kiwepo cheti cha mpharmasia ambaye utamlipa Million 1 mpaka million 1.5 kwa mkataba wa miezi 6....
Bado hujalipa kodi ya chumba ambayo umesema ni laki 5 kwa mwezi....
Bado ukarabati wa chumba vinatakiwa viwepo vyumba viwili vikubwa na ufunge Air condition ... Bado Manunuzi ya mzigo dawa,
Ongeza ifike hata Mill 25
Au nakushauri uanze na duka la Dawa Muhimu ambalo gharama yake haizidi Mill 5