Cosmasjulius
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 695
- 1,005
Siku za karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la famasi au maduka ya dawa lakini wengi wameishia kufunga biashara na kukimbia frame.
Je, tararatibu zipi za kufuata?
Je, tararatibu zipi za kufuata?
- Unafanyaje ili uweze kufanikiwa kwenye biashara hii hadhimu ya dawa?
- Zipi ni dawa muhimu na zinatoka kwa haraka na wapi utazipata?
- Location Je ina umuhimu gani kwenye biashara hii ya dawa?