chicharito 97
Member
- Feb 11, 2024
- 6
- 2
Ndugu zangu habari,mwezi wa 4 nitafungua pharmacy kwa mtaji wa kama mil 30,kuhusu location am sure nitaipata nzuri hofu yangu kubwa ni kwamba mimi kazi yangu ni ya kusafiri safiri sana.
Nilitaka kujua je ninaweza kufungua halafu ni control duka langu kwa kutumia camera ntakazofunga dukani mke wangu angeweza kulisimamia lakini naye yupo bize na kazi zake ni muajiriwa serikalini
Naombeni ushauri ndugu zangu kama itawezekana kufanya ivo navofikiria ama sivyo mnisaidie hata kwa ushauri nifanye nini ili koboresha na ku control biashara yangu hiyo tarajiwa
Mwenye wazo karibu kwa ushauri,kwa wale wanaomiliki biashara hii msiniache tafadhali ndoto yangu ikafa
Mnishauri nawaombeni
Nilitaka kujua je ninaweza kufungua halafu ni control duka langu kwa kutumia camera ntakazofunga dukani mke wangu angeweza kulisimamia lakini naye yupo bize na kazi zake ni muajiriwa serikalini
Naombeni ushauri ndugu zangu kama itawezekana kufanya ivo navofikiria ama sivyo mnisaidie hata kwa ushauri nifanye nini ili koboresha na ku control biashara yangu hiyo tarajiwa
Mwenye wazo karibu kwa ushauri,kwa wale wanaomiliki biashara hii msiniache tafadhali ndoto yangu ikafa
Mnishauri nawaombeni