Mwananchi wa Kawaida
Member
- Feb 9, 2012
- 65
- 15
Jamani watanzani wenzangu hivi hii bajeti ya matumizi 70% na uzalishaji 30% inatupeleka kwema kwel?
Wale wanao sema pombe nishetani waone serikali inavyo itegeme pombe na kama hakuna pombe serikali haina mapato.
hi inamaana kama watu wana ipenda serikali yao na kama wanataka ipate mapato mengi basi kila mwananchi anywe angalau bia mbili kilasiku
huo ndo uelewa wa serikali tulio nayo wala sishangai
Kilimo kimetendewa 192 billion ikilinganishwa na 760 billion kwenye bajeti ya 2011/12-halafu tunasema tunapambana na mfumuko wa bei wakati chanzo chake kikubwa ni kupanda kwa bei ya vyakula...je tumefikiria vizuri??
Pombe inalipa kuliko dhahabu
Kama wewe mtumishi wa umma inabidi uwe na heshima sana na viwanda vya pombe hehehe